Sawa wacha tusubiri.MAONO YA KINYONGA WA KIJANI na MANJANO.
Mwona maono Fulani aliona Kinyonga akiyameza mayai yake na kupanda juu ya mti mrefu,
Nia ya kupanda juu ya mti ni kujiachia Kutoka JUU ya mti Ili kuliangukia jiwe lililo chini ya mti, tumbo lipasuke na watoto watoke wakiwa hai.
Kinyonga aliliangukia jiwe na tumbo lake likipasuka kama alivyodhamiria bt Cha kuhuzunisha ni kuwa, hakuna mtoto aliyetoka hai, sababu ni kuwa mayai hayakuwa yamekamilisha siku zake za kuanguliwa.
RANGI ya mayai ni MEUPE, bt tumbo lilipopasuka, vilionekana vipande vya maganda ya mayai RANGI Nyeupe, na Damu yenye RANGI RED kutokana na mayai kupasuka, pia Kinyonga aliaga Dunia.
Nia ya Kinyonga ilikuwa njema. Bt muda haukuwa sahihi.
CCM ni Kinyonga, anaenda kufa baada ya 2026, bt maandalizi ya mrithi Bado hayaendi vizuri.
CCM haijakiandaa chama Cha kuja kurithi CCM. Vyama vilivyopo havijawa Bado na uwezo wa kuendesha Nchi, kiitikadi, kimaadili, kimfumo nk.
Nyerere: Bila CCM imara, Nchi itayumba.
Tusubiri.
Na vifo vya Mkapa na Nyerere vilitokana na nini ?
Lazima tupime alisema wapi lini akiwa kwenye hali gani! Jambo jema ni nia aliionyesha kuhakisha vyama vinafanya kazi yake ya siasa hayo mengine ambayo ameahidi asipo tekeleza tutamuhukumu kuanzia hapo.
Nchi hii hakuna upinzani,bali kunawachumia matumbo kwa kivuli cha vyama vya siasa,usifikiri hao wapinzani uchwara hawajui watendalo.kifupi wanalamba asali vyema sana,na hayo ndio maridhiano.Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina sifa na tabia ya kubadilika badilika kama kinyonga.
Kinyonga anabadilika rangi kutokana na mazingira aliyopo lakini kamwe mwili wa kinyonga haubadiliki kuwa wa ng'ombe au mbuzi.
Kinyonga atabadili rangi lakini siku zote hataendelea kutambulika kama kinyonga.
Wafuasi, wanachama na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kumwamini kinyonga huyu kutokana na kujibadili rangi kutokana na mazingira ya sasa ni kujidanganya.
Wengi wameingia katika mtego huu wa huyu kinyonga na kupotea kwa kudhani kuwa amebadilika na kuwa mbuzi, huku wakisahau kuwa yeye ni kinyonga na ana tabia za kubadili rangi kutokana na mazingira aliyopo.
CUF, NCCR next CHADEMA.
KINYONGAView attachment 2542164
Haaaaa ungejuwa ndugu, tulieni tu dawa iwaingie, tulisha bila hizo level miaka zaidi 20 iliyopitaWewe utakufa kwa njaa.
Uvivu, na ujinga uliokujaa!
Lazima tupime alisema wapi lini akiwa kwenye hali gani! Jambo jema ni nia aliionyesha kuhakisha vyama vinafanya kazi yake ya siasa hayo mengine ambayo ameahidi asipo tekeleza tutamuhukumu kuanzia hapo.
Najua wengi mna roho kama ya jiwe roho mbaya mbaya tu na chuki za wazi na hili linawagusa sana, as if sio watanzania.
Kama chadema imeshimdikana kufa kipindi Cha MEKO basi kabla hujafa chadema itakuwa chama tawala nipo pale.Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina sifa na tabia ya kubadilika badilika kama kinyonga.
Kinyonga anabadilika rangi kutokana na mazingira aliyopo lakini kamwe mwili wa kinyonga haubadiliki kuwa wa ng'ombe au mbuzi.
Kinyonga atabadili rangi lakini siku zote hataendelea kutambulika kama kinyonga.
Wafuasi, wanachama na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kumwamini kinyonga huyu kutokana na kujibadili rangi kutokana na mazingira ya sasa ni kujidanganya.
Wengi wameingia katika mtego huu wa huyu kinyonga na kupotea kwa kudhani kuwa amebadilika na kuwa mbuzi, huku wakisahau kuwa yeye ni kinyonga na ana tabia za kubadili rangi kutokana na mazingira aliyopo.
CUF, NCCR next CHADEMA.
KINYONGAView attachment 2542164
Ili iwejeUnafahamu nina umri gani ?
Unakumbuka mauwaji aliyoyafanya Januari 2001 hadi wapemba wakahamia Shimoni?Vp kuhusu kifo Cha Mkapa aliyetangulia kabla ya Magu?
Kama ni hivyo Itakuwaje sasa kuhusu Maasai waliouawa ngorongororo.Unakumbuka mauwaji aliyoyafanya Januari 2001 hadi wapemba wakahamia Shimoni?
Kwa mara ya kwanza Tanzania ilitoa wakimbizi wakati wa Mkapa.
Ni wapinzani wa kisiasa na Mkuu wa nchi?Kama ni hivyo Itakuwaje sasa kuhusu Maasai waliouawa ngorongororo.