CCM nchi nzima wanalalamika kudhulumiana.

CCM nchi nzima wanalalamika kudhulumiana.

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,158
Reaction score
48,404
Kila kona ya Tanzania yanasikika mayowe ya wana CCM kutuhumiana kudhulumiana huku wakirusha lawama kwa CHADEMA kwa nini hawashiriki uchaguzi na kusababisha dhuluma iwe kubwa ndani ya CCM.

Tulipowaambia NO REFORMS NO ELECTION mlitubeza. Hatutaingilia ugomvi wenu wa wanandugu!!
 
Kila kona ya Tanzania yanasikika mayowe ya wana CCM kutuhumiana kudhulumiana huku wakirusha lawama kwa CHADEMA kwa nini hawashiriki uchaguzi na kusababisha dhuluma iwe kubwa ndani ya CCM.

Tulipowaambia NO REFORMS NO ELECTION mlitubeza. Hatutaingilia ugomvi wenu wa wanandugu!!
Watengeneze ulingo wa masumbwi kila walipodhulumiana mshindi wa ulingoni ndiye mshindi wa kweli.
 
Kila kona ya Tanzania yanasikika mayowe ya wana CCM kutuhumiana kudhulumiana huku wakirusha lawama kwa CHADEMA kwa nini hawashiriki uchaguzi na kusababisha dhuluma iwe kubwa ndani ya CCM.

Tulipowaambia NO REFORMS NO ELECTION mlitubeza. Hatutaingilia ugomvi wenu wa wanandugu!!
 
Huu uchaguzi wa ndani ndugai lazima atamzimisha mtu 😄
Ushauri tu kwa wanaochuana naye wawe wanavaa helmet ⛑️
😄

Ova
Mzigo huo wanitafute vinginevyo atawavunja mafuvu ya vichwa vyao
20250312_092555.jpg
20250312_092525.jpg
20250312_092407.jpg
 
Hiki chama mpaka hapa kilipofikia, hakiwezi kamwe kurudi kwenye hali yake ya zamani ya umoja na mshikamano. Lazima kitakuja kufa tu kifo cha mende.

Kwa sababu kuna kikundi cha watu wachache wamejimilikisha chama huku walio wengi wakiishi kwa kitegemea fadhila za hicho kikundi cha watu wachache wenye nguvu ya fedha na ushawishi.
 
Back
Top Bottom