CCM nchi nzima wanalalamika kudhulumiana.

CCM nchi nzima wanalalamika kudhulumiana.

Wapigane tu hakuna namna, chama chote kimeoza na Mwl alishawalaani hawa. Aliwaambia CCM hii siyo ile aliyoijua yeye, CCM ya leo ni magenge ya vibaka
Yelewiii parakwiiii Haya ni maajabuu
Na wewe umejitoa ccm??
 
Toto jizi likikosa cha kuiba nje basi litaiba nyumbani - ndiyoo lishazoea tabia ya wizi.
 
Kila kona ya Tanzania yanasikika mayowe ya wana CCM kutuhumiana kudhulumiana huku wakirusha lawama kwa CHADEMA kwa nini hawashiriki uchaguzi na kusababisha dhuluma iwe kubwa ndani ya CCM.

Tulipowaambia NO REFORMS NO ELECTION mlitubeza. Hatutaingilia ugomvi wenu wa wanandugu!!
Kulalamika haitoshi yakunjane hai yatoke ngeu kabisa. Hakuna watu wapumbavu wa kushabukia ujinga kama fisiemu maslahi
 
Kila kona ya Tanzania yanasikika mayowe ya wana CCM kutuhumiana kudhulumiana huku wakirusha lawama kwa CHADEMA kwa nini hawashiriki uchaguzi na kusababisha dhuluma iwe kubwa ndani ya CCM.

Tulipowaambia NO REFORMS NO ELECTION mlitubeza. Hatutaingilia ugomvi wenu wa wanandugu!!
Nadhani baada ya kesho CCM tutaanza hata kutekana..Maana shughuli zinazoendelea usiku kuhusiana na kura za maoni haziashilii mwisho mwema.
 
Ndo hapo utagundua huwa hawaendi bungeni kwaniaba ya wananchi Bali kwa ajili yao na familia zao binafsi
 
Sasa kama wanadhulumiana wenyewe kwa wenyewe watashindwa nini kuwadhulumu ACT Wazalendo na CHAUMA?
 
Back
Top Bottom