Ndugu watanzania, wakati sasa umefika kukiondoa hiki chama chakavu na cha kifisadi madarakani. Sote ni mashahidi jinsi hawa panya wanavyozidi kuiguguna nchi huku maisha ya watanzania yakizidi kuwa magumu kila kukicha. Mwaka jana hawa panya walilamba bilion 300 za mboga za ESCROW na mwaka huu wamelamba bilion 600 za uchaguzi; na bado yale mabilioni waliyokomba kule Stanbic Bank hayajajulikana. ikifikia hatua hadi rais wa nchi anashiriki ufisadi kupitia kwa mnikulu, Gurumo, ujue CCM imefika pabaya sana. wananchi mnataka tuibie bilion ngapi ndipo mshtuke? acheni kuwa na akili za kuku ndugu zangu.
Ule muda muafaka tuliokuwa tunausubiri kukiangamiza hiki kizazi cha panya umewadia. kila raia ahakikishe anajiandikisha na kuwapigia kura UKAWA ili tuufute kabisa huu ukoo wa panya (CCM) kutoka ardhi ya Tanganyika. Tafakari, chukua hatua!
Huu uzi nimeupenda sana! Yan kama mwalimu basi ningesema umeandaa zana nzuri za kuelezea somo la leo. Yan ulikua ukilinganish nn unasema na kwa picha nini una maanisha. Hongera sana umeeleweka
Asante mkuu. Tuko pamoja katika harakati za kuikomboa nchi hii kutoka kwa mafisadi wa CCM. Ili tuendelee, hatuna budi kuufutilia mbali huu ukoo wa panya.
Asante mkuu. Tuko pamoja katika harakati za kuikomboa nchi hii kutoka kwa mafisadi wa CCM. Ili tuendelee, hatuna budi kuufutilia mbali huu ukoo wa panya.
Kwa Tanzania ya leo anaefikiria CCM analake moyoni, nchi zote zilizoendelea na zinazotaka kuendelea Mabadiliko ni muhimu. Leo ataongoza huyu kesho mwingine nk. Lakini kwa kuwa mimacho imetufumba tutaendelea kuwa vipofu sababu tunasema tunaona.
CCM ni ukoo wa panya-babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining'ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka 2015 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari' ya bei ya juu ya umeme, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha, EPA na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.
It's a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that's when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM's tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave in a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits the minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.
What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that many Tanzanians hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrendously, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
The only weapon we have today, if we wish to change the history of our country that has been exploitative since independence, is UNITY AND SOLIDARITY. We must understand that our government and the ruling party will not easily accept to quit the state and leave all fruits they are enjoying currently. We must ensure our people join us in this struggle. I believe one day we shall all enjoy living in a country without discrimination, exploitation, suffering, humiliation and hypocrisy.
Na wakati nchi ikielekea kuzimu kuna wapuuzi fulani wapo kule Lumumba wameatamia laptops zao wakifanya uchochezi na kutunga uongo kuhusu "MAFANIKO YA CCM"! Hivi ni lini hawa panya wataacha kutumia rasilimali za nchi kwa manufaa yao binafsi na ya vibaraka wao?
CCM waanze kujiandaa kisaikolojia kukabidhi madaraka kwa serikali ya UKAWA. wananchi wamechoka kunyonywa, kunyanyaswa na kufukarishwa na CCM. hiki chama chakavu hakina nafasi tena mioyoni mwa watanzania. saa ya ukombozi ni sasa. kila mwaka wananchi wanalazimika kuishi maisha magumu licha ya rasilimali lukuki tulizojaliwa na Mungu. hasira za wananchi dhidi ya CCM zimechochewa na nyongeza ya kodi kwenye petroli na mafuta ya taa, kitendo ambacho kitaongeza ugumu wa maisha kwa mwananchi wa kawaida. hivi hawa CCM wanafikiri kwa kutumia kichwa au tumbo?
CCM ni ukoo wa panyababu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na viningina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka 2015 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa magunia ya misumari ya bei ya juu ya umeme, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha, EPA na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.
Its a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and thats when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCMs tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave in a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits the minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.
What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that many Tanzanians hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrendously, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
The only weapon we have today, if we wish to change the history of our country that has been exploitative since independence, is UNITY AND SOLIDARITY. We must understand that our government and the ruling party will not easily accept to quit the state and leave all fruits they are enjoying currently. We must ensure our people join us in this struggle. I believe one day we shall all enjoy living in a country without discrimination, exploitation, suffering, humiliation and hypocrisy. View attachment 269522View attachment 269523
umeona eeh? yaani haya ma CCM hayafai kabisa...wakati umefika sasa kila mtanzania aseme "imetosha" na tufanye kila juhudi kuhakikisha kwamba tunakiangamiza hiki kizazi cha panya kabla hakijamaliza kutafuna nafaka yote iliyopo kwenye kihenge cha taifa. kumbuka wahenga wa kizungu walisema "IF A PERSON DECEIVES YOU ONCE SHAME ON HIM, IF TWICE SHAME ON YOU". hivyo basi, ndugu watanzania tazama jinsi CCM wamekuwa wakitudanganya kila siku lakini hatukomi kuwachagua kila uchaguzi mkuu uitishwapo. ni nani hasa aliyeturoga sisi watanzania? saa ya ukombozi ni sasa. hakika tusipojikomboa kutoka ukoo huu wa panya mnamo tarehe 25/10/2015 kwa kuwachgua UKAWA, tutalia na kusaga meno hadi tunaingia kaburini!
wewe unayesoma hapa inawezekana maisha yako ni afadhali, mkeo akipata ujauzito anaenda kupata chumba private, unalipia hata mwezi wakati anasubiri uchungu. lakini hapa tz kuna watu wanapeleka wake zao kwenye hospitali ambayo anaenda kulala kitanda kimoja wamama wawili, kitanda chenyewe ni mbili kwa sita (2x6). wanalala wawili, na unajua wamama hawa wakati uchungu ukiwa umelenga huwa hawavai nguzo za ndani walio wengi, hivyo wanakuwa wazi tu, mwenzao chupa ikipasuka bahati mbaya yale maji yanamwagikia wengine, kitanda kinaweza kuwa na damudamu wakati mwingine kwasababu kila mtu anakuja hospitali na uchungu wa aina yake, mwingine chupa imeshapasukia nyumbani hivyo anakuja pale akisubiria uchungu uliopoa na kuna matone ya damudamu yanadondoka...na inawezekana kuna wamama wengi sana wanaambukizana magonjwa wakienda kujifungua kwasababu haiingii hakilini kitanda cha mbili kwa sita wanalala wamama wajawazito wenye matumbo makubwa wawili wanalala mzungu wa nne wakigusishana viuno vyao...can you imagine? ni rais gani ni mwanadamu gani anaweza kuwaondolea watz mateso haya? na kwa bahati mbaya watu wanaoenda hospitali kama hizo ni wengi zaidi hapa tz...hospitali zamwananyamala, amana, muhimbili, hospitali zote za mkoa tz nzima zote huduma mbovu....Mungu iokoe Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.