sherehe za miaka 36 ya CCM zafana sana mjini Kigoma leo
Ndugu yangu Do not read too much katika hadhara hiyo kubwa!! Hakuna kitu kinachoweza kupendwa au kuchukiwa na watu wote; kwa wakati wote! na wala hadhara hiyo haiwakilishi asilimia 100 ya wakazi wa Kigoma; la hasha!!!
CCM ina die hards wake; wazee na walalahoi waliokata tamaa; na Vyama mbadala (Sio Upinzani!) vina watu wake hasa kizazi kipya na wasomi.
Sasa basi ukizingatia kwamba life is so boring in Kigoma; hiyo shughuli ilikuwa ni outing of the decade, Kigoma hakuna mpira wa daraja la kwanza, bendi kubwa kubwa haziendi Kigoma mpaka Zitto ahamasishe matamasha! watu wa Kigoma hawajamuona Raisi wao tangu 2010 wakati wa uchaguzi wa kampeni na isitoshe matarajio ya umma kwa JK kumwaga ahadi zisizotekelezeka lukuki ni baadhi ya mambo yanayoweza kuwafanya wanakigoma kufurika uwanja wa tanganyika pasipo manufaa ya kisiasa kwa CCM.