Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa ccm kuwa na kauli mbiu"NI UPEPO TU UTAPITA"
Kila kitu ni upepo tu utapita,hata jambo linalohatarisha amani ya nchi ni upepo,kila kitu ni upepo!
Hawa watu vp?
Kila kitu ni upepo tu utapita,hata jambo linalohatarisha amani ya nchi ni upepo,kila kitu ni upepo!
Hawa watu vp?