CCM na Mpango wa Kumuua Zitto

CCM na Mpango wa Kumuua Zitto

Ngugu wana Jf nakumbuka wiki chache zilizopita Mh zito kabwe alikuwa ktk mvutano mkubwa na wanachama wenzake ndani ya chadema baada ya kupinga kitendo cha wabunge wa CDM kutoka nje wakati mkuu wa chi akihutubia

lakini pia alipinga kitendo cha Mkuu wa CDM kuwa achisha kazi wafanyakazi wawili ktk ofisi ya makao makuu ya CDM

sasaa ameamuwa kuweka wazi kwanini hayo yote yanatokea juu yake eti ni kutokana na chuki dhidi yake baada ya kutia nia ya kugombea uraisi 2015

Huwa naamini kuwa mahali popote pale hata hapa JF kama ukiwa mkweli na muwazi kwa kila jambo hutopendwa na wasiopenda ukweli na uwazi

hivyo Mh Zito Kabwe anaponzwa na ukweli na uwazi wake anaoutowa kwa kila jambo ndani ya chama na kwa wale wasiopenda ukweli wa mambo wataendelea kumchukia zito hadi kufa kwani ndivyo alivyo.

Mh Zito Kabwe,endelea na msimamo wako ilimradi tu usikivuruge chama chetu,

msema ukweli hapendwi mahali popote pale duniani

mapinduziiiii daimaaaaaa :target::target:

unasema asivuruge chama chenu alaf unamalizia kwa kusema mapinduzi daima. Iyo ni slogan ya chama gani icho?chama cha mafisadi! Je ujasikia mh.ZITTO kasema hatokuja huko kwenye chama chenu ccm?yeye atabaki CDM tu,kwa iyo hamtampata ccm! Jana umeandika kuwa Chadema waache siasa za kitoto kuandamana kupinga bei za umeme,leo unakurupuka na Zitto,je huko ccm hamna la kufanya mpaka kila siku muiwazie chadema? Kama waitaka CDM mkubali dr.wa ukweli ili 2015 historia isije kukuacha nyuma. Peoples Power!
 
Zitto nadhani anajaribu kujenga umaarufu kwani yeye ni kiongozi wa CDM na anachotakiwa ni kufuata utaratibu wa kuongea na media, pia Zitto haeleweki siku hizi na sidhani ni ukweli gani ambao anauzungumza kwa jamii zaidi ya kupoteza umaarufu wake kwa watu. Amefikia hatua kwamba hazungumzii masuala ya ufisadi wa CCM bali kila kukicha yeye na chama chake tu!

haifai Zitto kumbuka chadema ndio waliokufikisha hapo pia atambue kuwa vijana wengi wantaka kuiga mfano wake!!nina wasiwasi kama alitaka kuhamia CCM lakini naona kule kama kafungiwa milango na sasa nataka kujipanga kwenda NCCR.Ningependa awe na msimamo muheshiwa zaidi atajivunjia heshima yake kubwaq aliyoijenga kwa wananchi walio wengi.
 
Am fade up with Zito stories! The man lost qualities of deserving my attention a long time ago. All of this is because Zitto is an attention seeker and he likes cheap popularity sandwiched with foolish and ungrounded arrogances and pride. Honestly I am not interested with his malicious double-dealing game he is playing.

Zitto please give CHADEMA a break! Blame your constipation of your mind and diarrhea of your mouth for everything that is going wrong to you. If your mission is to sabotage opposition for the interest of ccm and jk, you have failed. Get informed that Chadema will keep on flourishing and growing stronger with the confusions that you and your syndicate are trying to engineer.
Shame on you Zitto the traitor!
 
Am fade up with Zito stories! The man lost qualities of deserving my attention a long time ago. All of this is because Zitto is an attention seeker and he likes cheap popularity sandwiched with foolish and ungrounded arrogances and pride. Honestly I am not interested with his malicious double-dealing game he is playing.

Zitto please give CHADEMA a break! Blame your constipation of your mind and diarrhea of your mouth for everything that is going wrong to you. If your mission is to sabotage opposition for the interest of ccm and jk, you have failed. Get informed that Chadema will keep on flourishing and growing stronger with the confusions that you and your syndicate are trying to engineer.
Shame on you Zitto the traitor!

Yataka moyo kuweza kumkomboa mhanga wa siasa za matumbo na ujanjaujanja.......
 
Huyo ZK ubunge unamtosha kwani hatuhitaji jitu babaishaji kama yeye,akitaka urais arudi Mlimani akagombee urais wa chuo siyo nchi
 
Sijaona Zitto akiyumba kimsimamo tofauti na wanasiasa wengine wa Chadema, amekuwa consistent katika kile anachikiamini; na mara zote wakati umetuonyesha kuwa alivyovisimamia vimekuwa sahihi.

Suala hapa ni siasa za maji taka ata its best, tungekuwa tunaangalia facts, Zitto ameprove kuwa na mtizamo wa mbali sana kuliko wanasiasa wengi tunaowaona leo kuwa wapo sahihi, tunahitaji watu wengi zaidi kama Zitto ili kulikwamua taifa hili kutoka kwenye siasa za kifuasi na uadui na kuwa siasa za hoja kwa maslahi ya taifa.
Consistency unayoizungumza wewe ni ipi? Kuwasiliana na rais pamoja na other ccm members saa chache kabla ya walk out? Kukimbilia media na kutafuta umaarufu? Au kuomba uwaziri kwa Kikwete? Acheni kuiharibu CHADEMA kwa kuendelea kumjaza Zitto ujinga ilhali mama yake mwenyewe kakili mtoto si rizki
 
Zitto anajidanganya nafsi yake kuwa yeye ni maarufu si kweli.Hajaweza kufikia hata kiwanga alichokifikia MSABAHA wa CUF lakini leo yuko wapi??? Zitto usijidanganye wewe ni kawaida sana, hata umaarufu wa mh. Shelukindo hujaufikia lakini tayari umeanza kujamba ovyo.
 
Una data gani,usizungumze kama wewe ni msemaji wa watanzania wote,acha chuki na ujinga.wapo wanaomkubali sana Zitto,msijidanganye kuwa jamaa anachukiwa,watanzania wanajua ukweli na vita anayopigana inatokana na nini na kila siku mnamzidishia umaarufu .Tanzania Daima na Mwanahalisi hayatoshi na hayana heshima ya kumharibu Zitto.Acheni kupigana vita na Ztto,futeni mapungufu yaliyoko CHADEMA na acheni demokrasia ichukue mkondo wake kwenye chaguzi zenu.


  • Where i highlighted RED nimjibu professionally
  • 1. hakuna fitina umeji fitinisha mwenyewe a) kwa kupingana na wabunge wenzako during Walk-out, tukajua ww si mwenzetu b) la kugombea urais hizo ni ndoto kila mtu ana ndoto hata za Ali nacha zilikuwa ndoto, usijidanganye ww maarufu, that is not sign of intellectuals instead you will expose u r arrogance.
  • 2. uliposema Dowans inunuliwe na Serikali na kila mmoja anajua wazi Ufisadi na kupeana na Richmond ulikuwa unaota? au ulilishwa na mafisadi mara baada ya kuwa kamati ya madini?
  • Nikushauri, usiongee kwenye magazeti thinking u will convince watu waelewa, we work with data na matendo ya mtu si unacho ongea,
  • maneno waambie wasiokuwa na memory, ww unajua CDM members we have high & unlimited memory, tunaangalia matendo ya mtu na data kuhusu msimamo wake kisiasa, ww unahongeka kirahisi Zitto we confirmed thru you, still tupo pamoja watching you with an eagle eye, kanyaga twende
 
Ngugu wana Jf nakumbuka wiki chache zilizopita Mh zito kabwe alikuwa ktk mvutano mkubwa na wanachama wenzake ndani ya chadema baada ya kupinga kitendo cha wabunge wa CDM kutoka nje wakati mkuu wa chi akihutubia

lakini pia alipinga kitendo cha Mkuu wa CDM kuwa achisha kazi wafanyakazi wawili ktk ofisi ya makao makuu ya CDM

sasaa ameamuwa kuweka wazi kwanini hayo yote yanatokea juu yake eti ni kutokana na chuki dhidi yake baada ya kutia nia ya kugombea uraisi 2015

Huwa naamini kuwa mahali popote pale hata hapa JF kama ukiwa mkweli na muwazi kwa kila jambo hutopendwa na wasiopenda ukweli na uwazi

hivyo Mh Zito Kabwe anaponzwa na ukweli na uwazi wake anaoutowa kwa kila jambo ndani ya chama na kwa wale wasiopenda ukweli wa mambo wataendelea kumchukia zito hadi kufa kwani ndivyo alivyo.

Mh Zito Kabwe,endelea na msimamo wako ilimradi tu usikivuruge chama chetu,

msema ukweli hapendwi mahali popote pale duniani

mapinduziiiii daimaaaaaa :target::target:

Awe pia muwazi na siri anazotoa nje aseme....bila kusahau na vijisenti toka dowans..kama hapewi pia aseme
 
Hivi kweli huyu engmtolera elias joseph mwenye vibwagizo vya ccm ni mwenzetu kweli! Kitu anachopasha kufahamu shushu yeyote hajawahi kuwa mkweli. Hivyo majigambo ya Zitto kwamba hatoki CHADEMA kwakuwa ni chama cha Kigoma hayana mshiko wowote. Akiendelea na ukorofi wake ataonyeshwa mlango wa kupita. Ebu fikiria, ni hivi majuzi tu tumetoka kwenye uchaguzi mkuu, sasa yeye baada ya kusaidiana na wenzake katika kutibu vidonda vya uchaguzi huo ameanza kupoteza lengo kwa kuanzisha mjadala husio na maana kwasasa, wa ni mwanachama gani atasimamishwa na chadema kugombea urais 2015. Kama huyu siyo mvurugaji ni nani? Kusema kweli hana maana yeyote anyanganywe nafasi zote za uongozi katika chama. /
 
Watanzania msiwe cheap to that extent! Zitto asituchanganye kwa propaganda za kitoto nadhani tunamambo mengi ya kufanya!
Ametuhumiwa kuwa namawasiliano na watu ambao inatia shaka kama kweli aalichokua anakitetea bungeni haikua mchezo wa kuigiza.

Ameonyesha hadharani anamheshimu mwenyekiti wa ccm kuliko mwenyekiti wa chama chake pamoja na wanachama wake, je huyu si mamluki ndani ya chama?
Amekuwa ni mtu wa kuvuruga kila wakati na si kwa bahati mbaya ila ni mpango mzima wa waliomtuma. Hata leo amesema hawezi toka chadema si kwasababu anaipenda la, ila kazi ambayo ametumwa ya kuivuruga chadema bado haijaisha.

Kama anaonewa basi ajibu kwanza tuhuma zinazomkabili ambazo zimetolewa ushahidi lukuki kwenye magazeti e.g Mwanahalisi na si kutupa maneno rahisi kwamba anapigwa vita sababu ni muislamu.Hii inanipa shaka kwamba huenda yeye ndie asiyetaka kuwa chini ya mkristo hata kama ajenda iliyopo haihusu kanisa wala msikiti.

Watanzania amkeni, nyakati za wazembe wachache kupata madaraka kwa kuchezea maneno tu zimepitwa! Yaani mtu anaangalia weakness zenu za kidini anatumia kwa maslahi yake binafsi! Tanzania ndio nchi pekee ambapo weza tunga vimaneno vikakupa uongozi mkubwa tu!

Kitu ambacho ningependa kumshauri zitto na wengine wenye akili kama zake ni kwamba umaarufu walioupata si kwamba wao ni majiniasi hapana, ila ni sapoti ya wapenda mageuzi ya kweli. Na umaarufu huu anaweza kuupata yeyote atakae wakilisha mawazo haya ya kimageuzi!
Hivyo si kwamba wanambabaikia Zito kama zito bali wanababaikia ajenda yao ya mageuzi, hivyo yeyote anakaa kwenye mstari watamsapoti na yeyote atakaekengeuka wanamtupa nje na kuendelea na ajenda! Ajenda ni mageuzi ya kweli na si mtu!
 
Bana ee, tusidanganyane. Wangebaki Chadema pengine wasingeshinda. Baada ya kuhama, waliwezeshwa kifedha na mafisadi kupitia zitto ili kukomoa Chadema. Walikuwa ni nyoka wa zitto ndani ya Chadema kusambaratisha chama. Zitto anatumia kushinda kwao kupitia chama siyo rizki kutishia uongozi wa Chadema wasije fukuza nyoka wake waliobakia Chadema. Hatudanganyiki!

Mawazo mgando!!

Kama unaweza ukafikiri kuwa Kafulila na kina Mkosamali walikuwa na pesa nyingi kuliko kampeni team ya CCM basi una matatizo makubwa ya kufikiri.

Siasa za ufuasi pasi kuangalia facts ndizo zilizoifikisha nchi hii hapa ilipo, na bahati mbaya sana wanasiasa wetu wanajua kuwa wengi wetu ni wafuata upepo tu.
 
Ndg Butola

Sijaona Zitto akiyumba kimsimamo tofauti na wanasiasa wengine wa Chadema, amekuwa consistent katika kile anachikiamini; na mara zote wakati umetuonyesha kuwa alivyovisimamia vimekuwa sahihi.
Kweli Ukipenda hata Chongo huita Kengeza, Sijui Kuyumba Kimisimamo una maana gani, Labda kama una maanisha kung'ang'ania kile kitu hata ambacha watu wamekuprove kwamba uko wrong

Suala hapa ni siasa za maji taka ata its best, tungekuwa tunaangalia facts, Zitto ameprove kuwa na mtizamo wa mbali sana kuliko wanasiasa wengi tunaowaona leo kuwa wapo sahihi, tunahitaji watu wengi zaidi kama Zitto ili kulikwamua taifa hili kutoka kwenye siasa za kifuasi na uadui na kuwa siasa za hoja kwa maslahi ya taifa.
Tatizp la Kumfananisha Zitto na Wanasiasa Wengi nako ni Tatizo
 
Consistency unayoizungumza wewe ni ipi? Kuwasiliana na rais pamoja na other ccm members saa chache kabla ya walk out? Kukimbilia media na kutafuta umaarufu? Au kuomba uwaziri kwa Kikwete? Acheni kuiharibu CHADEMA kwa kuendelea kumjaza Zitto ujinga ilhali mama yake mwenyewe kakili mtoto si rizki

Hizi ndizo facts zako mkuu??great thinker??kaaazi kwelikweli!!
 
Zitto anapata migogoro Chadema kwa Dini yake, chadema hawatokubali kuona muIslam anakuwa Mwenyekiti, ilo asahau kabisa. Huo ndio ukweli.

Mbona unamwekea zitto maneno mdomoni? Anzisha chama chako cha kiislam Zitto awe mwenyekiti Kama atakubali basi?
 
Watanzania amkeni, nyakati za wazembe wachache kupata madaraka kwa kuchezea maneno tu zimepitwa!! Tanzania ndio nchi pekee ambapo weza tunga vimaneno vikakupa uongozi mkubwa tu!!

Ungelifahamu hilo usingeweza kumhukumu Zitto kwa kigezo cha nakala za Mwanahalisi na Tanzania Daima.

Kwa bahati mbaya sana hizi ndizo aina ya siasa zinayowawezesha viongozi wetu dhaifu kuendelea kututawala na kuendelea kutumia nafasi walizonazo kwa maslahi yao binafsi kwa kujenga "hofu dhania" juu ya kiongozi aliye tishio kwao katika jina la chama/nchi katika vyombo vya habari na sie tunaingia mkenge tu.
 
Una data gani,usizungumze kama wewe ni msemaji wa watanzania wote,acha chuki na ujinga.wapo wanaomkubali sana Zitto,msijidanganye kuwa jamaa anachukiwa,watanzania wanajua ukweli na vita anayopigana inatokana na nini na kila siku mnamzidishia umaarufu .Tanzania Daima na Mwanahalisi hayatoshi na hayana heshima ya kumharibu Zitto.Acheni kupigana vita na Ztto,futeni mapungufu yaliyoko CHADEMA na acheni demokrasia ichukue mkondo wake kwenye chaguzi zenu.

u r sick mentally, volatile memory u possess too, is waste of time to answer u, try to learn real issues and not ideal issues, hujui Zitto mwenyewe kafanya nini kwa vitendo na maneno yake? i repeat u r a total failure, bcoz naturally una mtindio wa ubongo,use Omega 3 to help u r volatile & poor memory
 
Ndg Butola

Mkuu Albedo...hivi kuwa na mtazamo ulio tofauti na "wengi" ndio kuyumba kimsimamo?sitaki kushangaa kwanini wanasiasa wetu wanaendelea kuyasema maneno marahisi tunayopenda kuyasikia ata kama hayapo sahihi.

Kama tunataka tuondoke hapa tulipo kama taifa tunapaswa sasa kuangalia records za viongozi wetu kiutendaji na uwezo wao wa kutoa "maamuzi/ushauri sahihi" na kisha kuwahukumu kwayo.
 
Back
Top Bottom