Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,322
- 69
ni ulimbukeni tu,
of course, pamoja na njaa..
of course, pamoja na njaa..
..tayari Chadema imewahi kuongozwa na Mwenyekiti Muislamu, Mzee Mohamed "Bob" Makani.
..Makamu wa Mwenyekiti wa Chadema ni Muislamu.
..matatizo ya Zitto ni ukaribu wake na makada wa CCM na kuyumba-yumba kimsimamo.
labda ashinde uraisi kupitia mgongo wa shujaa Dr Slaa,lakini hivihivi na ukinyonga wake usioeleweka,hawezi shinda kamwe.watanzania wapenda mabadiliko wameshapoteza imani naye siku nyingi.
zitto hayuko juu ya CDM na asidhani jeuri na kiburi chake kinatufurahisha wananchi.kwani kabla ya zitto cdm haikuwepo?atapita kama walivyopita wengine na aidhani kwa cdm yeye pekee ndo mwenye mipango ya kuwa raisi 2015.kuna wengine wazuri hawajajitokeza bado asubiri muda tu.hiki sio kipindi cha wabunge watano wa CDM bungeni
Hivi karibuni kwenye taarifa ya habari TBC1 Manumba alisikika akitamka kwamba Zitto anatishiwa kuuawa! Ni habari ya kuogopesha na kushangaza kwa vile watanzania hatuna utamaduni wa mauaji. Hadi mkuu wa jeshi la polisi atoe kauli kama hiyo, upelelezi wa kina umekwishafanyika na ushahidi wa uhakika na wa kutosha upo! Tena tunaamini mkuu wa namna hiyo hawezi kuropoka ovyo!
Suala la njama za mauaji si la kufumbiwa macho hata kidogo. Liwekwe hadharani na watuhumiwa wafikishwe mahakamani na sheria ichukue mkondo wake. Manumba asipofanya hivyo, akiri hadharani kwamba aliropoka na kisha ajiuzulu.
Kwa mawazo yangu, kwa kuwa jeshi la polisi limekuwa la CCM, matamshi ya namna hii yanaweza kuwa maandalizi ya awali ya kuwahadaa wananchi ili baadae CCM wenyewe watekeleze mauaji na kisha wawasingizie wapinzani wao ili kuwamaliza kisiasa. Huu ndio mwendelezo uleule wa umafia wa Mahita kwa chama cha CUF alipoonyesha kisu kupitia taarifa ya habari ya ITV chenye rangi ya bendera ya CUF siku moja kabla ya uchaguzi miaka kadhaa iliyopita na watanzania wakaamini habari ile ya uzushi..
CCM wanafahamu kwa sasa hali yao ni mbaya na uchaguzi wa 2015 ni patashika. Kauli ya Manumba ni maandalizi ya uzushi mwingine ili baadae watekeleze mauaji ya Zito kisha wawasingizie CHADEMA ili kuwamaliza kisiasa. Wanatafuta namna ya kuua mijadala ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Manumba atoe majina ya watuhumiwa wa mauaji hadharani. Ee Mungu utuepushe na huyu pepo mchafu aliyeivamia nchi yetu!
Zitto anapata migogoro Chadema kwa Dini yake, chadema hawatokubali kuona muIslam anakuwa Mwenyekiti, ilo asahau kabisa. Huo ndio ukweli.
Gazeti la Majira la leo limenena ya kuwa.................Zitto:Sikupewa sumu....................................
Hii yaashiria ya kuwa debe la maisha ya Zitto kuwa hatarani ni la viongozi serikalini na ndani ya CCM tu....lakini si la pahali pengine...................
Hivi karibuni kwenye taarifa ya habari TBC1 Manumba alisikika akitamka kwamba Zitto anatishiwa kuuawa! Ni habari ya kuogopesha na kushangaza kwa vile watanzania hatuna utamaduni wa mauaji. Hadi mkuu wa jeshi la polisi atoe kauli kama hiyo, upelelezi wa kina umekwishafanyika na ushahidi wa uhakika na wa kutosha upo! Tena tunaamini mkuu wa namna hiyo hawezi kuropoka ovyo!
Suala la njama za mauaji si la kufumbiwa macho hata kidogo. Liwekwe hadharani na watuhumiwa wafikishwe mahakamani na sheria ichukue mkondo wake. Manumba asipofanya hivyo, akiri hadharani kwamba aliropoka na kisha ajiuzulu.
Kwa mawazo yangu, kwa kuwa jeshi la polisi limekuwa la CCM, matamshi ya namna hii yanaweza kuwa maandalizi ya awali ya kuwahadaa wananchi ili baadae CCM wenyewe watekeleze mauaji na kisha wawasingizie wapinzani wao ili kuwamaliza kisiasa. Huu ndio mwendelezo uleule wa umafia wa Mahita kwa chama cha CUF alipoonyesha kisu kupitia taarifa ya habari ya ITV chenye rangi ya bendera ya CUF siku moja kabla ya uchaguzi miaka kadhaa iliyopita na watanzania wakaamini habari ile ya uzushi..
CCM wanafahamu kwa sasa hali yao ni mbaya na uchaguzi wa 2015 ni patashika. Kauli ya Manumba ni maandalizi ya uzushi mwingine ili baadae watekeleze mauaji ya Zito kisha wawasingizie CHADEMA ili kuwamaliza kisiasa. Wanatafuta namna ya kuua mijadala ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Manumba atoe majina ya watuhumiwa wa mauaji hadharani. Ee Mungu utuepushe na huyu pepo mchafu aliyeivamia nchi yetu!