Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Kama CCM wameweza kukodi mabasi na maroli ya kubeba watu kwenda kwenye kampeni, kununua T-shirt na kofia kwa kila mtu mwenye muda wa kwenda kwenye kampeni zao nchi nzima kwa pesa za Umma, najiuliza maswali kadhaa:-
Nakadiria Watu wanaojitokeza kumshangaa Jk kwenye kampeni nchi nzima mpaka mwisho wa kampeni watafikia Millon15 ghalama za kuwabeba mpaka uwanjani ni Tshs1000 kila mmoja, kofia ni Tshs3000 kila mmoja na T-shirt ni Tshs8000 kila mmoja jumla ya ghalama kwa kichwa ni Tshs12,000. Jumla ya ghalama zote katika eneo hili tuu ni Tshs Bilion180.
Binafsi sijataka kukadiria matumizi mengine kama posho za makada, malipo ya wasanii, kukodi helkopta, kutoa buku mbilimbili kwa wenye viti wa vijiji.
Naomba mwenye uwezo anisaidie alafu tujue sisiem inatumia nguvu gani? kwa pesa ya nani? na watailipaje?
Angalia ghalama hapa chini.
Nakadiria Watu wanaojitokeza kumshangaa Jk kwenye kampeni nchi nzima mpaka mwisho wa kampeni watafikia Millon15 ghalama za kuwabeba mpaka uwanjani ni Tshs1000 kila mmoja, kofia ni Tshs3000 kila mmoja na T-shirt ni Tshs8000 kila mmoja jumla ya ghalama kwa kichwa ni Tshs12,000. Jumla ya ghalama zote katika eneo hili tuu ni Tshs Bilion180.
Binafsi sijataka kukadiria matumizi mengine kama posho za makada, malipo ya wasanii, kukodi helkopta, kutoa buku mbilimbili kwa wenye viti wa vijiji.
Naomba mwenye uwezo anisaidie alafu tujue sisiem inatumia nguvu gani? kwa pesa ya nani? na watailipaje?
Angalia ghalama hapa chini.