CCM na kandambili

Anyisile Obheli

JF-Expert Member
Dec 13, 2009
3,398
319
ndala ama kandambili kama zinavyojulina na wengi, humsitiri sana mtu aingiapo msalani, kwa kawaida anayejua vizuri umuhimu wa afya yake hawezi ingia msalani bila kandambili,

je CCM imetusitiri kwa madogo kama ya kandambili? ikiwa kandambili ni bora kuliko CCM, basi ni dhahiri kuwa kandambili ni bora kuliko raisi Kikwete pia, lakini shamani kwa wana CCM humu ndani huo ni mtazamo wangu tu!!
 
Hii kali!! Nafikiri ni vizuri mkazionyesha hizo hasira zenu kwenye uchaguzi mwezi wa kumi. Maana si ajabu wewe unayetuandikia haya hapa jamvini mwezi wa kumi ukifika utanunuliwa na fedha za kifisadi ukawa kwenye misafara ya Kiikwete au meneja wa kampeni za CCM unasaidia kuipigia debe CCM ishike nafasi kwa mara nyingine.
 
Hii kali!! Nafikiri ni vizuri mkazionyesha hizo hasira zenu kwenye uchaguzi mwezi wa kumi. Maana si ajabu wewe unayetuandikia haya hapa jamvini mwezi wa kumi ukifika utanunuliwa na fedha za kifisadi ukawa kwenye misafara ya Kiikwete au meneja wa kampeni za CCM unasaidia kuipigia debe CCM ishike nafasi kwa mara nyingine.
tatizo letu watanzania ni wkufunzi wa usoma nyota, yaani utabiri, lakini ni wasoma nyota batili, hasa kazi kubwa tuliyonayo si kutafakari kwa makini ni nini mtu unapaswa kukifanyia utabiri, maana haiwezekani mtu usimame Ubungo na kuangalia kimara harafu useme unatabiri kuwa uwanja wa ndege uko mjono wako wa kulia sasa hapa vipi?
 
ndala ama kandambili kama zinavyojulina na wengi, humsitiri sana mtu aingiapo msalani, kwa kawaida anayejua vizuri umuhimu wa afya yake hawezi ingia msalani bila kandambili,

je CCM imetusitiri kwa madogo kama ya kandambili? ikiwa kandambili ni bora kuliko CCM, basi ni dhahiri kuwa kandambili ni bora kuliko raisi Kikwete pia, lakini shamani kwa wana CCM humu ndani huo ni mtazamo wangu tu!!

Again this is too much for him
Mix with yours
 
Hii kali!! Nafikiri ni vizuri mkazionyesha hizo hasira zenu kwenye uchaguzi mwezi wa kumi. Maana si ajabu wewe unayetuandikia haya hapa jamvini mwezi wa kumi ukifika utanunuliwa na fedha za kifisadi ukawa kwenye misafara ya Kiikwete au meneja wa kampeni za CCM unasaidia kuipigia debe CCM ishike nafasi kwa mara nyingine.

hivi nikifanya hayo yote hapo kwenye bluu na mwisho wa siku kwenye kura nisiichague CCM kuna ubaya? maana ninaelewa kwenye chumba cha kura nitakuwa peke yangu....ipo shida gani?
 
Uhuru mwingine usivuke mipaka, we sema ccm na si raisi wetu! yaani unamfananisha raisi na kandambili!
 
Uhuru mwingine usivuke mipaka, we sema ccm na si raisi wetu! yaani unamfananisha raisi na kandambili!
Hapo unaweza pata picha huyo mtu kwenye maisha ya kawaida ni mtu wa namna gani!si ajabu ameshapata kutakuna hata wazazi wake huyo!
 
Uhuru mwingine usivuke mipaka, we sema ccm na si raisi wetu! yaani unamfananisha raisi na kandambili!
ana umuhimu kwako wewe, pengine unakula upenuni mwake, mimi ndivyo nionavyo
maana kandambili imekuwa ni muhimu sana kwangu maana imenisitiri kwa mengi kuliko
huyo raisi wako, hata hivyo mtazamo wangu usikuumize sana
 
Hapo unaweza pata picha huyo mtu kwenye maisha ya kawaida ni mtu wa namna gani!si ajabu ameshapata kutakuna hata wazazi wake huyo!
wewe naona hiyo imekuuma sana, lakini huyo raisi wako kwangu ni kijana mwenzangu tu, lakini ukweli kwa mtazamo wangu uko pale pale, nimsifie hasa kwa lipi?
hata kandambili zingenisitiri kwa safari za msalani nisingizisifia, muhi tupingane kwa hoja na si vinginevyo
 
wewe naona hiyo imekuuma sana, lakini huyo raisi wako kwangu ni kijana mwenzangu tu, lakini ukweli kwa mtazamo wangu uko pale pale, nimsifie hasa kwa lipi?
hata kandambili zingenisitiri kwa safari za msalani nisingizisifia, muhi tupingane kwa hoja na si vinginevyo

Yap! Tupingane kwa hoja lakini sio kwa lugha za kejeli na dharau!Wewe kwa mfano tu!kama una baba yako mzazi amekosa kukupa huduma muhimu kama mzazi wako unaweza sema huyo baba hana maana bora hata kandambili?
Hakuna anayekumbia kumuunga mkono Kikwete wala kumsifia ni haki yako ya Kikatiba!Ila hakuna atakaye kuunga mkono kwa lugha zako za kejeli zisizo na staha wala adabu!
Lakini huenda umekulia hivyo kwa desturi , mila na imani yako kutumia lugha za ina hiyo!
 
mkuu usemalo laweza kuwa kweli ikiwa base line ni kusetiri. Wengi hatuoni na ni dhahiri kila mtz ukimuuliza for five years atakwambia bora ndala au kandambili. Na wanaodai oktober ndiyo kipimo, sijui ni formula ipi wameiweka kuhakikisha kuwa ccm hawataiba kura as last.

s
 
Yap! Tupingane kwa hoja lakini sio kwa lugha za kejeli na dharau!Wewe kwa mfano tu!kama una baba yako mzazi amekosa kukupa huduma muhimu kama mzazi wako unaweza sema huyo baba hana maana bora hata kandambili?
hujafahamu kuwa yeye ni kiongozi wala hana daraja la baba, huu mfano wako ni wa zamani enzi za jua lileee litelemke mamaaaa! aiya iya iyaaa mamaaa, hiyo itakusaida wewe na mtazamo wako wa kikwete kuwa mzazi wako
mkuu usemalo laweza kuwa kweli ikiwa base line ni kusetiri. Wengi hatuoni na ni dhahiri kila mtz ukimuuliza for five years atakwambia bora ndala au kandambili. Na wanaodai oktober ndiyo kipimo, sijui ni formula ipi wameiweka kuhakikisha kuwa ccm hawataiba kura as last.

s
tatizo watu wanataka jk asikosolewe, mi kwangu ni ngumu, maana sijaumbwa hivyo kuwaramba
viatu eti kwa kuwa nitaonekana nawakejeli pale nitakapotoa kile ninachokiona kuwa ndiyo msingi wa mtazamo wangu sitaki kuwa kuwa mnafiki juu ya hilo
 
hivi nikifanya hayo yote hapo kwenye bluu na mwisho wa siku kwenye kura nisiichague CCM kuna ubaya? maana ninaelewa kwenye chumba cha kura nitakuwa peke yangu....ipo shida gani?

ukifanya hayo huoni kuwa wewe tu ndio utapiga unapotaka. je hao ulio washawishi wakati wa kampeni si utakuwa umewapotosha?
 
ndala ama kandambili kama zinavyojulina na wengi, humsitiri sana mtu aingiapo msalani, kwa kawaida anayejua vizuri umuhimu wa afya yake hawezi ingia msalani bila kandambili,

je CCM imetusitiri kwa madogo kama ya kandambili? ikiwa kandambili ni bora kuliko CCM, basi ni dhahiri kuwa kandambili ni bora kuliko raisi Kikwete pia, lakini shamani kwa wana CCM humu ndani huo ni mtazamo wangu tu!!

Mkuu naheshimu sana hisia zako na mtazamo wako, lakini mkuu mmh lugha uliyotumi. kwamtazamo naona kama kali kidogo, ingawa maana nzima ina mantiki ila jinsi ulivyo iwasilisha mh
 
hujafahamu kuwa yeye ni kiongozi wala hana daraja la baba, huu mfano wako ni wa zamani enzi za jua lileee litelemke mamaaaa! aiya iya iyaaa mamaaa, hiyo itakusaida wewe na mtazamo wako wa kikwete kuwa mzazi wakotatizo watu wanataka jk asikosolewe, mi kwangu ni ngumu, maana sijaumbwa hivyo kuwaramba
viatu eti kwa kuwa nitaonekana nawakejeli pale nitakapotoa kile ninachokiona kuwa ndiyo msingi wa mtazamo wangu sitaki kuwa kuwa mnafiki juu ya hilo!
Hakuna anayekulazimisha au kukushawishi uumunge mkono Kikwete au umsifu Kikwete,Tunazungumzia Lugha Mkuu,umetumia mfano ambao haupendezi .Sidhani hiyo lugha uliyeitumia hapa ungeweza kuitumia ndani ya kadamnasi!

Naweza kukusifu kuwa wewe sio mnafiki siku utakapo jitokeza kwenye mkutano wa hadhara na kutamka hayo maneno hapo nitakusifu wewe haswa mkweli!

Lakini upo kwenye PC unaijisfu huko ni unafiki

Kingine kejeli zako wala hazimwathiri Kikwete kukosa kura au kutoungwa mkono na wengine!

Hizo lugha unazotumia mara nyingi hutumiwa na vijana waliokulia mitaani ambao hawakupewa malezi mazuri ya wazazi!Kwa hiyo sitoshangaa sana kuona unaendelea kushikilia msimamo wako ya kuwa lugha ulioyoitumia kukosoa upo sawa!
 
Hakuna anayekulazimisha au kukushawishi uumunge mkono Kikwete au umsifu Kikwete,Tunazungumzia Lugha Mkuu,umetumia mfano ambao haupendezi .Sidhani hiyo lugha uliyeitumia hapa ungeweza kuitumia ndani ya kadamnasi!

Naweza kukusifu kuwa wewe sio mnafiki siku utakapo jitokeza kwenye mkutano wa hadhara na kutamka hayo maneno hapo nitakusifu wewe haswa mkweli!

Lakini upo kwenye PC unaijisfu huko ni unafiki

Kingine kejeli zako wala hazimwathiri Kikwete kukosa kura au kutoungwa mkono na wengine!

Hizo lugha unazotumia mara nyingi hutumiwa na vijana waliokulia mitaani ambao hawakupewa malezi mazuri ya wazazi!Kwa hiyo sitoshangaa sana kuona unaendelea kushikilia msimamo wako ya kuwa lugha ulioyoitumia kukosoa upo sawa!
sawa mkuu,
mi nimekwelewa sana ila bahati mbaya sana sina neno jingine mbadala kwa kuwasilisha hoja yangu,
nafikiri ukali wa maneno utakujulisha ni kwa gani kwa mtazamo wangu nimegundua kuwa jamaa kikwete ka aprove filure kwa kiasi kikubwa katika 5 yrs yake yeye kama presidee.
kama angekuwa ni mwanafunzi wangu darasani ndiyo yuko hivyo, basi baada ya kumvumilia sana,
sasa nimechukua fimbo na kumtandika nayo,
 
Hizo lugha unazotumia mara nyingi hutumiwa na vijana waliokulia mitaani ambao hawakupewa malezi mazuri ya wazazi!Kwa hiyo sitoshangaa sana kuona unaendelea kushikilia msimamo wako ya kuwa lugha ulioyoitumia kukosoa upo sawa!
ya kwa hapo wewe wala hujakosea ni kweli mimi sijalelewa na jumuiya za wazazi za CCM kama wewe hiki ndicho kilichopelekea mimi kukosa malezi ya umoja ya umoja wa vijana wa CCM, na kuwa mmoja wa wanaoitikia tawile kwa kila jambo, hiyo ndiyo tofauti kubwa iliyopo kati yangu mimi na wewe
Kingine kejeli zako wala hazimwathiri Kikwete kukosa kura au kutoungwa mkono na wengine!
hiyo si kejeli kama unavyodhani, pengine kwa kuwa naupeo mfupi wa tafakari zako juu ya posti ila umejaa sana
upenzi kwa jamaa kikwete hata kama anakosea, narudia tena kusema yawezekana wewe ni mmoja wa wanaokula upenuni mwake, sasa hili ni lazima likwathili sana wewe, lakini kama ungekuwa ni mmoja wa walioathilika na style ya uongozi wa mkwere basbi ungejenga sana hoja juu ya kwa nini nimekuja kihivi
 
Back
Top Bottom