Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
ndala ama kandambili kama zinavyojulina na wengi, humsitiri sana mtu aingiapo msalani, kwa kawaida anayejua vizuri umuhimu wa afya yake hawezi ingia msalani bila kandambili,
je CCM imetusitiri kwa madogo kama ya kandambili? ikiwa kandambili ni bora kuliko CCM, basi ni dhahiri kuwa kandambili ni bora kuliko raisi Kikwete pia, lakini shamani kwa wana CCM humu ndani huo ni mtazamo wangu tu!!
je CCM imetusitiri kwa madogo kama ya kandambili? ikiwa kandambili ni bora kuliko CCM, basi ni dhahiri kuwa kandambili ni bora kuliko raisi Kikwete pia, lakini shamani kwa wana CCM humu ndani huo ni mtazamo wangu tu!!