CCM na CUF mbona wanawatenga Chadema?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akizungumza na Spika wa Bunge Anne Makinda (kulia), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Mary Nagu (kushoto) na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid baada ya kufunga semina ya Wabunge kwenye ukumbi wa hoteli ya Pearl Ubungo Plaza Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 
Chadema ndiyo viongozi wa upinzani Bungeni lakini CCM inaonekana ingelipendelea CCM-B ambao ni CUF waendelee kuwalinda Bungeni...............Mwenye macho haambiwi tazama..............................na mwenye masikio haambiwi sikia.....................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…