Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
CCM na CHADEMA Arusha na Mwanza mmejifunza nini kutoka mbeya.
Meza ya mazungumzo kati ya viongozi wa CCM na CHADEMA mkoani mbeya imefanikiwa kuleta muafaka. Mikoa ya Arusha na Mwanza ina fursa ya kujifunza badala ya kuvutana kila siku ili kutafuta mshindi. Kumalizika kwa ghasia mkoani mbeya ni funzo kwa mikoa ambayo chadema na CCM wanapambana bila kikomo ili kupata ushindi.
Mbeya wamezika tofauti zao kwa ajili ya maslahi ya wananchi na Zanzibar vivyo hivyo kati ya CCM na CUF. nyinyi mnasuburi nini
Meza ya mazungumzo kati ya viongozi wa CCM na CHADEMA mkoani mbeya imefanikiwa kuleta muafaka. Mikoa ya Arusha na Mwanza ina fursa ya kujifunza badala ya kuvutana kila siku ili kutafuta mshindi. Kumalizika kwa ghasia mkoani mbeya ni funzo kwa mikoa ambayo chadema na CCM wanapambana bila kikomo ili kupata ushindi.
Mbeya wamezika tofauti zao kwa ajili ya maslahi ya wananchi na Zanzibar vivyo hivyo kati ya CCM na CUF. nyinyi mnasuburi nini