Ccm na chadema watuliza maafa mbeya

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
CCM na CHADEMA Arusha na Mwanza mmejifunza nini kutoka mbeya.

Meza ya mazungumzo kati ya viongozi wa CCM na CHADEMA mkoani mbeya imefanikiwa kuleta muafaka. Mikoa ya Arusha na Mwanza ina fursa ya kujifunza badala ya kuvutana kila siku ili kutafuta mshindi. Kumalizika kwa ghasia mkoani mbeya ni funzo kwa mikoa ambayo chadema na CCM wanapambana bila kikomo ili kupata ushindi.
Mbeya wamezika tofauti zao kwa ajili ya maslahi ya wananchi na Zanzibar vivyo hivyo kati ya CCM na CUF. nyinyi mnasuburi nini
 
CCM na CHADEMA Arusha na Mwanza mmejifunza nini kutoka mbeya.

Meza ya mazungumzo kati ya viongozi wa CCM na CHADEMA mkoani mbeya imefanikiwa kuleta muafaka. Mikoa ya Arusha na Mwanza ina fursa ya kujifunza badala ya kuvutana kila siku ili kutafuta mshindi. Kumalizika kwa ghasia mkoani mbeya ni funzo kwa mikoa ambayo chadema na CCM wanapambana bila kikomo ili kupata ushindi.
Mbeya wamezika tofauti zao kwa ajili ya maslahi ya wananchi na Zanzibar vivyo hivyo kati ya CCM na CUF. nyinyi mnasuburi nini

Mwanajamii gani usiye elewa mambo wewe? Ni wazi umekurupuka kuandika bila kujua nini kinaendelea.
 
CCM na CHADEMA Arusha na Mwanza mmejifunza nini kutoka mbeya.

Meza ya mazungumzo kati ya viongozi wa CCM na CHADEMA mkoani mbeya imefanikiwa kuleta muafaka. Mikoa ya Arusha na Mwanza ina fursa ya kujifunza badala ya kuvutana kila siku ili kutafuta mshindi. Kumalizika kwa ghasia mkoani mbeya ni funzo kwa mikoa ambayo chadema na CCM wanapambana bila kikomo ili kupata ushindi.
Mbeya wamezika tofauti zao kwa ajili ya maslahi ya wananchi na Zanzibar vivyo hivyo kati ya CCM na CUF. nyinyi mnasuburi nini

Muongo mkubwa wewe..Hiki unachokiongea ni uongo mkubwa..Thibitisha :
1 .Ni lini CCM na Chadema walikuwa na ugomvi mkoani Mbeya?

2. Ni lini na wapi CCM na Chadema walikaa kikao cha muafaka mkoani Mbeya?

3. Nini source ya hii habari uliyoiandika?

Mimi naomba mods muwe waangalifu,hizi threads za kupotosha watu msiziruhusu kabisa.Hii thread inatakuwa iondolewe
 
Mi nakushauri udelete post yako haraka iwezekanavyo! Manake hurikurupuka bila kufikiri kaka.
 
CCM na CHADEMA Arusha na Mwanza mmejifunza nini kutoka mbeya.

Meza ya mazungumzo kati ya viongozi wa CCM na CHADEMA mkoani mbeya imefanikiwa kuleta muafaka. Mikoa ya Arusha na Mwanza ina fursa ya kujifunza badala ya kuvutana kila siku ili kutafuta mshindi. Kumalizika kwa ghasia mkoani mbeya ni funzo kwa mikoa ambayo chadema na CCM wanapambana bila kikomo ili kupata ushindi.
Mbeya wamezika tofauti zao kwa ajili ya maslahi ya wananchi na Zanzibar vivyo hivyo kati ya CCM na CUF. nyinyi mnasuburi nini
ni chadema kupitia sugu ndo wameleta amani c magamba,,
 
CCM na CHADEMA Arusha na Mwanza mmejifunza nini kutoka mbeya.

Meza ya mazungumzo kati ya viongozi wa CCM na CHADEMA mkoani mbeya imefanikiwa kuleta muafaka. Mikoa ya Arusha na Mwanza ina fursa ya kujifunza badala ya kuvutana kila siku ili kutafuta mshindi. Kumalizika kwa ghasia mkoani mbeya ni funzo kwa mikoa ambayo chadema na CCM wanapambana bila kikomo ili kupata ushindi.
Mbeya wamezika tofauti zao kwa ajili ya maslahi ya wananchi na Zanzibar vivyo hivyo kati ya CCM na CUF. nyinyi mnasuburi nini

Duh! hiyo kali Mkuu!! Awali nilidhani vurugu zilikuwa ni kati ya Machinga na serikali ya mkoa, kumbe ilikuwa ni machinga na CCM, ndiyo maana wakaitwa CDM ili kusuluhisha???!!!!
Unajua kuna dhana mbaya vichwani mwa watu wengi, kwamba kwa sababu Mhe. Rais ametoka CCM basi Serikali yote ni ya CCM, hapana. Siyo hivyo, kwani kuna vyombo vingi tu vya dola ambavyo havitakiwi kufungamana na itikadi ya chama chochote. Lakini kwa kujipendekeza nao hujifanya ni sehemu ya chama tawala. Ndiyo maana kila kiongozi wa CCM, hujiona na kujifanya ni kiongozi wa serilkali na hutoa matamko ya kiserikali. Vivyo hivyo, viongozi wa kiserikali nao hutoa matamko ya kichama kana kwamba wapo pale kukiwakilisha chama tawala. Tuna safari ndefu sana ya uelewa.
 
CCM na CHADEMA Arusha na Mwanza mmejifunza nini kutoka mbeya.

Meza ya mazungumzo kati ya viongozi wa CCM na CHADEMA mkoani mbeya imefanikiwa kuleta muafaka. Mikoa ya Arusha na Mwanza ina fursa ya kujifunza badala ya kuvutana kila siku ili kutafuta mshindi. Kumalizika kwa ghasia mkoani mbeya ni funzo kwa mikoa ambayo chadema na CCM wanapambana bila kikomo ili kupata ushindi.
Mbeya wamezika tofauti zao kwa ajili ya maslahi ya wananchi na Zanzibar vivyo hivyo kati ya CCM na CUF. nyinyi mnasuburi nini
Nani amekwambia Mbeya kulikuwa na mapambano kati ya ccm na chedema? Jaribu kutumia ubongo kabla ya kuropoka.
 
Limbukeni wewe unatumika na chama cha Magamba CCM hata aibu hauna,wakati Sugu ndiyo kawatuliza wamachinga,CCM Mbeya haitakiwi kabisa,shame on you,MBEYA NCHI RAISI SUGU,
 
Back
Top Bottom