MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
Tuache propaganda katika mambo makubwa yanayoweza kuangamiza Taifa, tujadili issues kwa makini tuone nani kati ya vyama hivi viwili anayetupeleka kusiko ili tuonye na kutoa ushauri kwa kuweka mbele mstakabali wa nchi yetu. Baada ya kuangalia mwenendo wa uchaguzi uliopita, tukaangalia mapokeo ya uchaguzi na mwenendo wa vyama hivi viwili baada baada ya uchaguzi, sasa tunaweza kujadili na kujiuliza Kati ya CHADEMA na CCM:-
- Nani anahatarisha usalama wa taifa letu?
- Nani mwenye uroho na uchu wa madaraka?
- Nani mwenye kutumia udini katika siasa zake?
- nani asiyekuwa na sera?