CCM mwendo mdundo! CHADEMA yaanguka

Hivi jamani hata ukimwita Taahira au mtoto mdogo ukamuuliza kwanini JK kavunja baraza la mawaziri atakujibu nini?

Nani asiyejua kwamba Baraza limevunjwa ili kumnusuru wakupinda?

Kwani CDM kwanini waliamua kumwajibisha Wakupinda kama si kwa vile waliona hawawezi kuwawajibisha MAfisadi papa(mawaziri)?

Mimi nawapongeza sana CDM kwani tangu wameanza kupigania haki za wanyonge hilo baraza lisharekebishwa mara nyingi na kuvunjwa mara 1 na hii itakua ya pili.

Hv CCM nyie hamjifunzi?Hamtaki kuja kua wapinzani Makini kama Sugu alivyowaambia?
 
Tunajua Kikwete aligoma kuvunja baraza la mawaziri, alipoambiwa CHADEMA wamelishikia bango, kama hatafanya hivyo ngoma itakuwa ngumu.
Kikwete alilazimishwa kuvunja baraza la mawaziri
 

Mafilili = ni sawa na fisi kikwetu , sasa tutegemee nini toka kwa fisi
 
hii kali kweli yaani kuvunjwa kwa baraza la mawaziri ndo ishara ya kupaa kwa ccm kisiasa!!!
 
Upinzani wekeni kando, JK amekidhi matakwa ya watanzania, leo roho kwatu!!!

ivi wewe unazo kweli? Hii nchi ilianza kuharibiwa na yulee M...mpeku sasa hutaki mabadiliko iko siku utakunywa maj ndo chai uende kuzurura maana hauwazi kesho we akili yako ni masaa mwisho. Mijitu mingine sijui mnawazaga kula na kulala tu!.
 
hii kali kweli yaani kuvunjwa kwa baraza la mawaziri ndo ishara ya kupaa kwa ccm kisiasa!!!

Bado hatujaona mawaziri wakivunjwa bado. je atatumia vigezo gani kuwachagya wengine. Ampe basi magufuli waziri mkuu.
 


Naogopa sana kama mtu anaweza kupongeza ujinga wa namna hii... Inaonesha ni jinsi gani watanzania tulivyo watu wakuendeshwa na matukio, bila matukio akili zetu zinalala. Mbaya sana hii!!!!!!!!!! Huwezi kupongeza ujinga unaofanywa na mtu mjinga aliyesababisha mwenyewe ujinga wa mwanzo. Tuwe wazalendo jamani, hii nchi siyo yetu peke yetu bali na vizazi vyetu vijavyo............makaburi yetu yatafukuliwa na wajukuu zetu na kutamani kuchoma mifupa yetu.
 
Akili zako hazina tofauti na Kingwangallah sijui huwa mnavuta bangi kabla ya kuandika huu uozo kama ulioandika hapa
 
J.k kapima upepo akajua asipochukua hatua ya haraka lazma ile kwake magogoni angeiskilizia kwenye radio
 
Bado hatujaona mawaziri wakivunjwa bado. je atatumia vigezo gani kuwachagya wengine. Ampe basi magufuli waziri mkuu.
hivi pale ccm nani na nani wanafaa kuwa mawaziri? Mana naona wote wamechafuka.
 
Wao walitaka Mawaziri 8 na Waziri Mkuu Kikwete kapiga Baraza lote na atawafikia Makatibu wakuu na Wakurugenzi ina maana alikuwa anasubiri upepo utulie
 

nadhani ww haujajua jk kwamba
 
Khaaaaaaaa! HIVI KUFANYA MABADILIKO NDIO ISHU AU MAENDELEO NA KUWAWAJIBISHA WAZEMBE NA MAFISADI NA KUPUNGUZA GHARAMA ZA MAISHA NDIO ISHU??? ME BADO SIJAONA KITU HATA KIDOGO!! KWANI NI SAWA NA KUTOA HELA MFUKO WA KUSHOTO NA KUWEKA WA KULIA NA KUSEMA HAPA SITAIBIWA NA WAKATI YOTE IMEFANANA!! maji lita 10000 yakichangwanya na kipisi ki1 cha tope yote ni machafu!
 
Usipende sana kupost thread za kiushabiki ukiwa kwenye siku zako za hedhi, unaandika utumbo tu unaokushushia heshima yako.
 
Historia ipo wazi ni JK tu anayeongoza kwa kusikiliza vilio vya wananchi na kuchukua hatua:-

1. Aliunda tume ya kuchunguza tukio la akina Zombe
2. Ametulea watz zawadi ya miaka 50 ya uhuru; tume ya katiba mpya
3. Aliwaalika IKULU CDM na kusikiliza mawazo yao na kupata nao dinner
4. Amewahusisha makundi mbalimbali ya jamii katika tume ya katiba mpya; Prof. Baregu, Dr. Mvungi
5. Amemaliza kisayansi mgomo wa madaktari
6. Amewezesha watz waweze kujua kinachojiri katika ripoti ya CAG kupitia Bunge
 

dhamira ya zitto kabwe mbunge chadema ilikuwa ni kuwawajibisha mawaziri lakini kama bunge lilikuwa halina uwezo lakini walikuwa na uwezo wa kumuwajibisha waziri mkuu. Unaposema ccm wamepeta sijakuelewa kabisa kwa mtu anayefikiri vizuri CDM pamoja na baadhi ya wabunge wa ccm wazalendo ndiyo wamepeta.
 
Wewe akili yako haina AKILI kweli, ndio maana waingereza wanasema "common sense is not always that common" shame up on you!!
 
Nimegundua wafuasi wa CDM mwapenda kusifiwa TU, mnakuwa vipofu serikali ya CCM inapofanya mambo mazuri kwa manufaa ya watanzania walio wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…