CCM muwe mnaacha na maneno ya akiba

CCM muwe mnaacha na maneno ya akiba

Hiyo kauli ilitolewa na nani? Maana sisi wengine jana hatukuwa na muda wa kufuatilia mkutano wa mataahira! Inawezekana aliyetoa kauli hiyo akawa hana busara hata chembe kichwani mwake! Hivi unategemea kauli itoke kwa Makamba itakuwa na busara hiyo?
 
Ulevi wa madaraka ni mbaya sana MTU miezi 8 tu amelewa hivi
 
Kimantiki, mkuu wa nchi alikuwa sahihi. Katika demokrasia ya vyama vingi si vyema sana kutamka aliyotamka.
"Success bring blindness" - R. Kiyosaki
 
Mwenyekiti mpya anasema chochote kitakacho kuja kichwani msameheni
 
Ktk maisha haya ya mfumo wa vyama vingi ile ni kauli ya kuligawa taifa. Yaani wale wasio wana CCM au wasiyo wana chama wa chama chochote hawatakiwi ktk nchi hii.

Magufuli ana kauli chafu sana, anaropoka tu kama sijui nini. Sidhani kama anajitambua kama yeye ni Rais
nadhan ulev wa madaraka
 
Ilani iliyoshinda uchaguzi ni ya ccm, kwa hiyo wafanyakazi wote wanatakiwa kutekeleza ilani ya ccm
Ilani Ilani Ilani Ilani yaani nchi haina mipango ya kiuchumi mikubwa inategemea ilani za vyama, maendeleo tutayona kwa wenzetu na kuyatamka midomoni tu.
 
Ilani iliyoshinda uchaguzi ni ya ccm, kwa hiyo wafanyakazi wote wanatakiwa kutekeleza ilani ya ccm
Hiyo ni misconception mkuu. Hakuna kitu hicho. Msitake kumfanya Magufuli kama Mungu kuwa hakosei. Hapo kapotoka. na hakupaswa kusema hivyo. Unajua Mtu ukikua umezoea kuropoka hata kama ukiwa kiongozi utaendelea na tabia yako tu.
 
Jana nimeshudia tambo za wapambe pale Dodoma na makada wa ccm kiasi kwamba zimezidi kupita kiasi. Inaelekea sasa ccm inashindwa kutofautisha kati ya serikali na chama cha siasa.

Kilicho nistua zaidi ni kuambiwa kuwa sasa sisi sote ni watumwa hapa nchini na mabosi wetu ni ccm. Hizi ni tambo za hali ya juu Sana kuwahi kutolewa duniani na chama chochote cha siasa.

Nacho jua Mimi CCM ilitukuta watanganyika tukiishi maisha yetu kwa Amani kabisa. Ikaomba tuishi wote tukaikubalia Leo ndo imekuwa mabosi na kututaka tuisujudie ili hali iliomba urai kwetu tukaipa?

Mkumbuke kiburi cha chama cha KANU kule Kenya na matokeo yake sasa yamekifikisha wapi. Jina la Rais wa Kenya kwa sisi tulio ishi zamani tunakumbuka lilikuwa linatanguliwa na neno Mtukufu halafu ndio unataja jina lake.

Msisahau msemo wa wahenga usemao sikio huwa halizidi kichwa jamani.

Wala usibabaike wala kutishika mkubwa!

Hayo ni maneno ya kwenye kanga tu lakini ktk field ni impractical.......hayatekelezeki!

Well, hawa CCM ni kweli waliinadi ilani na sera zao, wakashinda uchaguzi na wanaunda serikali....that's well and good

Lakini wanachopaswa kufanya sasa ni kuzii avert hizo sera na hiyo mipango yao kutoka ktk ilani yao iwiane na sera za kitaifa pamoja na sheria na katiba ya nchi ili kila mtu bila kujali ana itikadi gani ashiriki ktk kuitekeleza!

Kinyume na hapo, kama kuna mwanaCCM mfano atajilengesha akiwa na gwanda lake la kijani eti anakuja kunielekeza ktk eneo langu la kazi, ajiandae kura kichapo kikali cha kitaratibu na kisheria!!
 
Hawajiulizi mwaka huu wamepokea wanachama wawili tu ambao mmoja angalau kakaa upinzani miaka zaidi ya mitano na mwingine hata mwaka hajamaliza, last time kipindi cha kina Shonza walikuwa kadhaa hii ni dalili ya increasing at diminishing rate kwa wachumi
Naona wameamua kupokea makapi na oil chafu
 
CCM imejaa wehu na waigizaji tupu,,,wanalinda matumbo yao ndio maana akina mzee makamba wanapanua midomo kama chewa kutukana bila kujali wanaongea na watu wanasikia na wanachambua
 
Hawajiulizi mwaka huu wamepokea wanachama wawili tu ambao mmoja angalau kakaa upinzani miaka zaidi ya mitano na mwingine hata mwaka hajamaliza, last time kipindi cha kina Shonza walikuwa kadhaa hii ni dalili ya increasing at diminishing rate kwa wachumi
1469393928833.jpg
 
Siku zote mtumishi wa serikali anapofanya vibaya mfano kufisadi pesa za maendeleo na mambo yanapoenda mrama nchi hii wananchi hawamuadhibu huyo mtumishi wa serikali wataiadhibu CCM na hasira zao zitakua kwa CCM so kwa wao CCM kuisimamia serikali ni wajibu wao sio mpaka raisi aseme maana yakiharibika serikalini ni serikali inayoundwa na CCM wao ndio watakua wahanga 2020.
 
Siku zote mtumishi wa serikali anapofanya vibaya mfano kufisadi pesa za maendeleo na mambo yanapoenda mrama nchi hii wananchi hawamuadhibu huyo mtumishi wa serikali wataiadhibu CCM na hasira zao zitakua kwa CCM so kwa wao CCM kuisimamia serikali ni wajibu wao sio mpaka raisi aseme maana yakiharibika serikalini ni serikali inayoundwa na CCM wao ndio watakua wahanga 2020.

Sasa Mtu fisadi si anapelekwa Mahakamani au?
 
Back
Top Bottom