Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,226
Mkuu labda aina ya vyakula ina weza kusababisha fikra tofauti.Dodoma ukiwaambia ccm haifai hawakuelewi kabisa, ukienda arusha wanakuelewa haraka sana
Mmoja ana kula chakula cha kawaida na mbogamboga akishushia na matunda na mwingine anakula viwavi na magunzi akishushia na ubuyu.
Lazima bongo zao ziwe tofauti