mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Watoto wa UMRI huu kuwaingiza kwenye SIASA ni kinyume na KATIBA ya Jamhuri ambako hata kupiga kura kunaanzia umri wa miaka 18.
CCM mtaacha lini tabia hii ya kipuuzi? Acheni watoto wetu wakue, wachague mlengo wao wa KISIASA. SIASA sio DINI.
MNAWABAKA KISIASA watoto hawa. Hamsikii?
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1735977189080780966?t=K0t883PAaH0T7aTe7Cx65g&s=19
CCM mtaacha lini tabia hii ya kipuuzi? Acheni watoto wetu wakue, wachague mlengo wao wa KISIASA. SIASA sio DINI.
MNAWABAKA KISIASA watoto hawa. Hamsikii?
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1735977189080780966?t=K0t883PAaH0T7aTe7Cx65g&s=19