CCM msirudie tena

CCM msirudie tena

Mleta uzi.hiv ukimleta diblo dibala,dally kimoko na wapiga gita wote maarufu halaf wawapigie mbuzi gita watawaelewa kwel

Kama huyu hapa. Anawatwangia wenzake ndombolo ya solo
View attachment 187450
Kisha anawagawia Tshirt, kanga na kofia katika mkakati wa kuwalegeza
ImageUploadedByJamiiForums1411418474.650995.jpg
Hapo wanakuwa wamemuelewa na kukubaliana naye sasa wanakaa na kupata ubwabwa kama mkataba wa makubaliano kuwa kaeleweka
 
Si jambo jema. Kura zitanguliwe na ubinaadamu. Siku ya Jumamosi,kulitokea ajali iliyohusisha pikipiki na lori maeneo ya Visiga Kibaha Pwani. Ni kwenye kona mpya ya Visiga Seminari. Katika ajali hiyo,mwendesha pikipiki alifariki papo hapo huku pikipiki yake yote ikiteketea kwa moto.

Ni siku hiyo hiyo,msafara wa CCM ukiongozwa na Kinana na Nape ulikuwa unaelekea Mlandizi baada ya mkutano wa Mailimoja siku ya Ijumaa. Wakati watu wakikusanyika kumsitiri na kumuondoa marehemu kuelekea hospitali,msafara wa CCM ukapita.Wakati huo maiti ipo na pikipiki linawaka.

Pamoja na watu wengi kuwa eneo la ajali,msafara haukusimama. Kubwa zaidi,gari la matangazo lilizidisha sauti na kuweka taarabu. Hakika,marehemu alikuwa anaonekana pale. Wananchi waliguswa sana na jambo hilo. Hawakuamini walichokiona. Ajalini kweli ipigwe taarabu??!?

Wananchi wamefikia kuuliza,wangekuwa wa vyama vya upinzani wangepita wakipiga taarabu? Naomba wahusika wasirudie tena. Nasema,kura na sera zitanguliwe na utu.Wananchi wa Pwani sio cheap kihivyo!

Mkuu kila msafara wa CCM huwa haupiti hivihivi kwani chama hiki kinaongozwa na SHETANI na damu ndio huwa malipo yao kwa huyo shetani wanaemuabudu kwani nakumbuka kuna siku nilikuwa kule Igunga na NAPE alipita na gari kule akielekea Shinyanga katika ile issue ya kuwarubuni wale madiwani wa CDM na pale Igunga aligonga mtu na kufariki lakini hakusimama aliendelea na safari na nilimuuliza jamaa yangu akaniambia hakuna hatua yeyote aliyochukuliwa hadi hivi leo.
 
hawa ccm hawana tofauti na mashetani poleni sana wafiwa hawa ccm hukumu yao kwenye kura 2015
View attachment 187467
chukua hatua FUTA DELETE KABISA CCM TANZANIA
 
Back
Top Bottom