Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,518
- 86,066
Tlivyosema mwaka ule, mkatutungia wimbo kuwa tutaisoma namba, kweli namba tumeisoma ila wenzetu mmeikariri hadi wengine kuwa hivyo mlivyo leo.
Sasa "marekebisho" hayo ya Katiba ndio utakua mwisho wenu. Kama CCM mnajipenda kataeini hili kwa nguvu zote, kimya kimya haitasaidia, kama vile mlivyoweza kuimba siku ile pale Dodoma. Fanyeni hivyo hivyo tena, vinginevyo Mwafaaa.
Sasa "marekebisho" hayo ya Katiba ndio utakua mwisho wenu. Kama CCM mnajipenda kataeini hili kwa nguvu zote, kimya kimya haitasaidia, kama vile mlivyoweza kuimba siku ile pale Dodoma. Fanyeni hivyo hivyo tena, vinginevyo Mwafaaa.