Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,470
- 122,790
Kwa hiyo ukisusa wewe kwa kuwa ni wachache basi walio wengi wasiendelee na shughuli zao? wewe punguani kweli kweli.
Kwa bahati mbaya na wewe niliyekutegemea umeangukia kwenye udhaifu uleule wa wanaccm wote. Kujibu maswali na kujenga hoja imekuwa ni tatizo kubwa na matokeo yake ndio hapo jeshi la polisi kutumika kupiga watanzania wenye mtazamo tofauti na ccm. Hukuwa na haja ya kutukana na tena kutukana kwenyewe bora ungejenga hoja wangalau kidogo wa utetezi wa baadhi ya maswali yenye utata. Na kwa bahati mbaya sio wewe, rais, au mjumbe yoyote wa BMK kasoro wa kura za hapana anayejenga hoja kwenye maeneo hayo yenye maswali lukuki. Haya mama kwa jinsi ulivyoitetea katiba pendekezwa nimeamini ni nzuri sana.