Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,158
- 48,403
Kama sielewi kabisa... Kazi na Utu ndiyo nini? CCM huwa mnakuja na kauli mbiu, lakini hii ni ya kiwango cha chini?
Kama sielewi kabisa... Kazi na Utu ndiyo nini? CCM huwa mnakuja na kauli mbiu, lakini hii ni ya kiwango cha chini?
Acha umbumbumbu wako hapa wewe. Embu Fuatilia Hotuba za Mheshimiwa Rais wetu kipenzi akiwa Mkoa wa Songwe hususani katika Eneo la Mji Mdogo Wa Mlowo aliyoitoa siku ya Jana. Ameeleza kila kitu na maana halisi ya kauli hiyo. Maana mimi sitaki nikueleze kwa kuwa kila kitu kimeelezwa na Rais wetu.
Kwamba JPM alipiga kazi lakini hakuwa na UTU. Wahuni watu wabaya sanaAcha umbumbumbu wako hapa wewe. Embu Fuatilia Hotuba za Mheshimiwa Rais wetu kipenzi akiwa Mkoa wa Songwe hususani katika Eneo la Mji Mdogo Wa Mlowo aliyoitoa siku ya Jana. Ameeleza kila kitu na maana halisi ya kauli hiyo. Maana mimi sitaki nikueleze kwa kuwa kila kitu kimeelezwa na Rais wetu.
Kazi bila utu tunasonga mbele. Hawa ni matapeliKama sielewi kabisa... Kazi na Utu ndiyo nini? CCM huwa mnakuja na kauli mbiu, lakini hii ni ya kiwango cha chini?
Sielewi... Kazi na utu... Ndiyo inamaanisha nini?Kazi bila utu tunasonga mbele. Hawa ni matapeli
Huna tofauti na MalayaAcha umbumbumbu wako hapa wewe. Embu Fuatilia Hotuba za Mheshimiwa Rais wetu kipenzi akiwa Mkoa wa Songwe hususani katika Eneo la Mji Mdogo Wa Mlowo aliyoitoa siku ya Jana. Ameeleza kila kitu na maana halisi ya kauli hiyo. Maana mimi sitaki nikueleze kwa kuwa kila kitu kimeelezwa na Rais wetu.