MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
- Thread starter
- #21
kwa staili hii nazidi kupoteza imani na wanasiasa.yaani wameona kipaumbele ni kuongeza majimbo kiliko changamoto zinazotukabili kama taifa...nimeamini ule msemo wa kale usemao mbwa anajifukuzia mwenyewe..
fanya maamuzi magumu kwa faida ya kizazi chako kijacho. Piga picha life unayoishi wewe sasa hivi ni iko hivi jee kizazi chako kijacho kitakuwa katika hali gani endapo mpango wa misha ni huu huu???