MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
Tanzania idadi ya watu haizidi milion 45 mpaka muda huu.. Na kwa idadi hii tuna Wabunge 360 mjengoni wanameza kodi zetu bila tabu.
Na wakati huo bado inaendelea kulipasua taifa kuongeza majimbo ambapo tutegemee idadi ya wawakilishi itaongezeka na kufikia 400 kwa jinsi hali inavyoonekana.
Nchi ya india ina idadi ya watu bilioni 1.4 na inawakilishwa na wabunge 400 tu.
Serikali ya ccm hii ni aibu kubwa kwa kinchi maskini hiki cha Tanzania.
Naomba wananchi tufanye maamuzi magumu au tutumie fursa iliyopo katika kipindi hiki kufutilia upuuzi huu unaotuongezea umasikini kila uchao usiokuwa na sababu yoyote kwa kushiriki kujiandikisha na kushiriki kwa kupiga kura kuizika hii chama mbofumbofu inayotuletea shiddda nchini kwetu.
cc: faizafoxy, mussa allan, ritz, laki si pesa
Na wakati huo bado inaendelea kulipasua taifa kuongeza majimbo ambapo tutegemee idadi ya wawakilishi itaongezeka na kufikia 400 kwa jinsi hali inavyoonekana.
Nchi ya india ina idadi ya watu bilioni 1.4 na inawakilishwa na wabunge 400 tu.
Serikali ya ccm hii ni aibu kubwa kwa kinchi maskini hiki cha Tanzania.
Naomba wananchi tufanye maamuzi magumu au tutumie fursa iliyopo katika kipindi hiki kufutilia upuuzi huu unaotuongezea umasikini kila uchao usiokuwa na sababu yoyote kwa kushiriki kujiandikisha na kushiriki kwa kupiga kura kuizika hii chama mbofumbofu inayotuletea shiddda nchini kwetu.
cc: faizafoxy, mussa allan, ritz, laki si pesa