impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
Jana nimeshuhudia Polisi wakitumia magari maarufu kama karandinga kubeba makada wa chama cha mapinduzi kwenda katika mkutano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Jeshi la Polisi limejiingiza katika siasa ni fedheha kubwa hakuna wa kuliamini tena maana hapa limekuwa Jeshi la CCM sio la wa Tanzania.
Viongozi kemeeni hili si jambo jema kwa ustawi wa Taifa letu Jeshi la Polisi lisifanywe la chama cha siasa bali liwe kwa maslahi ya Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
Jeshi la Polisi limejiingiza katika siasa ni fedheha kubwa hakuna wa kuliamini tena maana hapa limekuwa Jeshi la CCM sio la wa Tanzania.
Viongozi kemeeni hili si jambo jema kwa ustawi wa Taifa letu Jeshi la Polisi lisifanywe la chama cha siasa bali liwe kwa maslahi ya Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika