CCM mbele kwa mbele Vs Msaga Sumu Lowassa anapendeza

CCM mbele kwa mbele Vs Msaga Sumu Lowassa anapendeza

shaurimbaya

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2013
Posts
1,915
Reaction score
2,339
Habari wadau..

kampeni za mwaka huu zimekuja na mbwembwe nyingi na burudani...

Je, kati ya msaga sumu na Tot nani amefunika?

Jimbo gani linaongoza kwa kuserebuka
 
Hi

Mwimbo gani wa kampeni umetisha na kutoa mchango mkubwa katika kampeni hizi zinazoelekea ukingoni?

CCM ni ile ile,oh ni ile ile
Tumejipanga, mwaka huu wataisoma namba......


Kina baba , Lowassa
Kina mama, Lowassa
Hakuna kama, Lowassa
Watasubiri sana na badooo......
 
Kwenye karatasi ya kupiga kura LOWASSA na mgombea mwenza wake DUNI HAJI wako namba 4. Piga kura yako ya vema hapo
 
Hakikisha unakua na kalamu yako na pia hakutakua na neno lililoandikwa Ukawa ila ni vyama washirika, Chadema, Nld, Cuf na Nccr
 
Mi Nadhani imebamba ile inayipigwa sana kwenye harusi siku za hivi karibuni........ Wakina baba.... lowassa aah!!!!! Msaga Sumu ametisha
 
Nafarijika Mungu atatushindia.ccm haifai.wote tukapige kura kuing'oa ccm.Tumchague LOWASA na wagombea wa UKAWA.
 
Msaga sumu ndio habari na ni king wa malofa na wapumbavu kitambo uku kwetu uswahili ni
Wakinamama lowassaaaa
Wakinababa. Lowasaaaa
Vijana lowasaaaa ehee lowasaa mwenye link ya wimbo huu pls auweke apa
 
Watasubiri sana na bado...nampenda Lowassa shabiki wa damu kamwe sitamwacha.
 
Back
Top Bottom