CCM: Mambo si mambo

CCM: Mambo si mambo

Wewe uko UFIPA ya Lumumba yanakuhusu nini?

haman rais alienichosha kama huyu fast jet leo nimemuona kwenye gazeti nimeumwa kabisa ....ee mungu tuepushe na balaa ya rais kama huyu tena, nenda kikwete nenda mwana kwenda umetuchosha ,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:

1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?

2.Wanakula kuku sisi makombo.

3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.

4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.

5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.

6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.

Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?


Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Alaaa sasa mnayajua haya kwa nini bado mnaichagua CCM? mbona wanajionyesha jinsi gani walivyo wajinga yaani walijiunga CCM ili nao wapewe tenda? ama kweli nchi ya wajinga huchekana kwa ujinga!..
 
Waambieni habari zile za mnara wa Baberi ulivyoanguka
 
Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:

1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?

2.Wanakula kuku sisi makombo.

3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.

4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.

5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.

6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.

Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?


Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mimi huwa nashawishika sana na hoja zako mkuu! uko neutral sana.
 
Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:

1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?

2.Wanakula kuku sisi makombo.

3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.

4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.

5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.

6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.

Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?


Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Afadhali hicho kidogo unachoambulia kuliko kwanye vyama vinavojifanya vinatete wananchi huko ndiko sheeda hamna mshahara ni posho tuu na hiyo posho mara uambiwe unachangia mafuta ya helikopta mara mchango kwa ajili ya mafuta ya gari wenywe waneemeka
 
Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:

1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?

2.Wanakula kuku sisi makombo.

3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.

4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.

5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.

6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.

Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mangiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Alaaa sasa mnayajua haya kwa nini bado mnaichagua CCM? mbona wanajionyesha jinsi gani walivyo wajinga yaani walijiunga CCM ili nao wapewe tenda? ama kweli nchi ya wajinga huchekana kwa ujinga!..


Mbona Una maswali ya kujitekenya Sana?? wewe unaeisaidia CCM kupunguza makali ya UKAWA unahoji wanaoichagua CCM??

Too low!!!!
 
Back
Top Bottom