Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
Wewe uko UFIPA ya Lumumba yanakuhusu nini?
Wee kada tulia, wakubwa wakishiba na kupasuka ndipo watafikilia kuwatupia makombo.
Wewe uko UFIPA ya Lumumba yanakuhusu nini?
Hivi bado kuna watu ni wanachama wa ccm mpaka leo ?
Moderator nyuzi kama hizi za kizushi zisizo na ushahidi wowote hazifai kuachwa hapa jamvini.
Mzee Tupa katika kiwango chake cha ujinga
Ni nani aliyewarogaaaaaaaaa?Huyu jamaa tu,eshamzoea. Nadhani hata mods wamemzoea ndo maana wanampuuza. Ila wanatakiwa kuondoa huu ujinga wake
Ukoo wa panya, baba mwizi, mama mwizi, mtoto mwizi na mjukuu mwizi by Mh. NasariMambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:
1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?
2.Wanakula kuku sisi makombo.
3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.
4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.
5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.
6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.
Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Unauhakika na usemacho?
Au unataka mjadala wa CCM JF?
Umeelemewa kwa hoja unalia na Moderator akusaidie:smile-big:
Kuna hoja gani hapo zaidi ya unafiki na upashkuna.
Mzee Tupa katika kiwango chake cha ujinga
Moderator nyuzi kama hizi za kizushi zisizo na ushahidi wowote hazifai kuachwa hapa jamvini.
Mwendelezo wa udaku
Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:
1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?
2.Wanakula kuku sisi makombo.
3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.
4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.
5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.
6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.
Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Wewe unaishi nchi gani kwa maana hata Rais na mawaziri wako huwafahamu. Hata baba yako mwenyewe ni CCM. Unauliza swali au unaleta vichekesho kwenye forum!Hivi bado kuna watu ni wanachama wa ccm mpaka leo ?
Hivi wewe unayewanyoshea wenzio vidole si fisadi. Mbona umejaa ubinafsiMzee Tupatupa anafanya kazi nzuri sana ya kuumbua mafisdi
Ivi kwani mzee tupatupa siku hizi fulana na kanga zenu mnauza? Maana ninavyofahamu Mimi mnakuwa mnagawa bure.Kweli CCM imekwisha.Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:
1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?
2.Wanakula kuku sisi makombo.
3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.
4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.
5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.
6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.
Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam