MWanaume anavyowanyima usingizi mtajuta why mlishoot hahahaha
Shetani original humjui ombaomba wewe! Yule amayeomba mpaka Kiwanja cha mpira Dodoma na kila ajaye kumsalimia anamuomba "niombee"!
Hivi ana dhambi gani mpaka kila anayekutana naye " niombee"
Sent using Jamii Forums mobile app
Dakta Bashru mbona Unajishambulia?!!..hizo sifa ni za CCM
Hivi hii katuni inauzwa bei gani vile?
Hii nafasi ilikuwa inamfaa KANGI LUGOLA ambaye angekanusha kuwa Tanzania Hakuna Mbunge Anaeitwa Tundu Lissu wala hajawahi kutokea,angedai Mbunge Wa Singida Kwa Kumbumbu zake ni Mgana Msindai.
Sawa mkuu😅😅😅😅😅. ...naishia hapa
Aliyedungwa risasi 16 na nyingi kumkosa halafu leo anaitwa mwonevu,Kweli Mungu mvumilivu sana
Bora ww soon..mie niliwaanza rasmi kuwachukia kwa ishu ya Mwangosi since then sitak mazoea na mtu yyy wa ccmCcm inatia sumu kwenye moyo wangu wa kuipenda nchi yangu Tanzania. Soon nitaanza kuichukia Tanzania kwasabb ya ccm.
Jamani wahutu wadhibitiwe wanatuharibia nchi.
Dakta Bashru mbona Unajishambulia?!!..hizo sifa ni za CCM
Kwa hiyo DAWA ya Ukimwi ni RISASI