Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,824
- 18,085
* Hongera Mzee Nkoswe - Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa
* Hongera Ikuwo - Mwanaharakati wa CHADEMA
Matunda ya mapambano yenu dhidi ya udhalimu wa CCM mkoa wa Rukwa tumeyaona!
Hongera wananchi wa Sumbawanga mjini kwa kuipiga chini CCM!
Pia pongezi za pekee ziwafikie wananchi wa Mwambao wa ziwa Tanganyika kwa kuifuta kabisa CCM!
Bye bye CCM!!!
* Hongera Ikuwo - Mwanaharakati wa CHADEMA
Matunda ya mapambano yenu dhidi ya udhalimu wa CCM mkoa wa Rukwa tumeyaona!
Hongera wananchi wa Sumbawanga mjini kwa kuipiga chini CCM!
Pia pongezi za pekee ziwafikie wananchi wa Mwambao wa ziwa Tanganyika kwa kuifuta kabisa CCM!
Bye bye CCM!!!