Kaka heshima. Hapo kwenye red ndipo hasa "wataalam" wa fani mbalimbali - sayansi jamii, sayansi siasa, sosholojia, n.k. n.k. wanatakiwa kukuna vichwa kujiuliza huwa inakuwaje? Fikiria chama ambacho hakina resources zozote kubwa wala hakina dola na vyombo vyake wala, wala, wala, ... lakini kinapata sapoti ya ajabu hivyo! Huwa inakuwaje? Hebu tujifikirishe kidogo.
[Ukweli unauma, ROSTAM hakuwa mjinga kujiuzulu ubunge. Na sasa ameingia kwenye kampeni kumaliza kazi.ROSTAM amewaingiza CCM kwenye kona zake hureeeeeeeeeeeeeeee.Asante kaka MKAPA kwa kuipa CHADEMA ushindi wa bureeeeeeeeeeeeeee.]