Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
Kwa jinsi nilivyoangalia taarifa ya habari ya leo ya ITV kweli CCM wanatumia vibaya rasilimali wanazotuibia. Sikuona sababu kwa Mh. Wasira kuwasha jenereta na kutumia kipaza sauti kuwahutubia watu wasiozidi kumi na mbili huko Igunga. Ni aibu na fedhea kwa chama kikubwa kama CCM kupata idadi ya watu ambayo hata Dovutwa asingepoteza muda wake kuwahutubia.
Ni kama kuonyesha ushabiki vile ITV wakaonyesha na mkutano wa kampeni wa Chadema uliojaa watu kupindukia.
Sijui CCM mtaibaje mpaka mshinde huko Igunga! Kweli Wana Igunga wameamka
Ni kama kuonyesha ushabiki vile ITV wakaonyesha na mkutano wa kampeni wa Chadema uliojaa watu kupindukia.
Sijui CCM mtaibaje mpaka mshinde huko Igunga! Kweli Wana Igunga wameamka