CCM maji shingoni Igunga

CCM maji shingoni Igunga

Magawnda yanajifariji na kujilizawa!<br />
Vipi hao vijana waliomwagwa na zile Fuso za CDM kutoka Moshi na Arusha ni wapiga kura wa jimbo hilo? Huko ni kujidanganya na sijui ni nani analipa gharama za chakula na malazi kwa vijana hawa zaidi ya 400 walioletwa na CDM ili kuongeza wingi wa watu katika mikutano yao
<br />
<br />
kwnye kundi la mbuzi kondoo huji tenga
 
Ccm tumeagiza vijana wapya kutoka ccp moshi,wanakuja kuiba kura. Ukileta kidomo tunakupa kesi ya babusea.
 
Habari zenyu bhana....,bila shaka haina majotro Igunga. Kimbiza hao mafisadi. Peoplz power!
 
Magawnda yanajifariji na kujilizawa!
Vipi hao vijana waliomwagwa na zile Fuso za CDM kutoka Moshi na Arusha ni wapiga kura wa jimbo hilo? Huko ni kujidanganya na sijui ni nani analipa gharama za chakula na malazi kwa vijana hawa zaidi ya 400 walioletwa na CDM ili kuongeza wingi wa watu katika mikutano yao

Karibu ritz
Usikimbie humu,kazi inaendelea,CHADEMA haijwahi na haiwezi kubeba watu wahudhurie mikutano yao
 
Tangu kampeni zianze hapa Igunga chadema tumekuwa tukifanya mikutano mitatu kwa siku,huku CCM ikishindwa kufanya hata mkutano mmoj,zaidi ya ule wa ufunguzi uliofanyika Igunga mjini, tena baada ya kuleta watu kwa malori.

Katika hali ya kukata tamaa, CCM sasa imekubaliana kutumia dola kama njia ya mwisho, kujipatia ushindi.. Kimsingi wananchi wengi Igunga wanataka mabadiliko, na wapo tayari kwa mabadiliko.

Leo Chadema tunafanya mkutano wa 21.. picha baadae

hebu telimishe unafikiri safari hii ccm wataitumiaje dola kutudhulumu haki yetu ya uchaguzi wa huru na haki?
 
Hongera CDM, ila msibweteke hawa jamaa bado wana magamba hawaogopi kuchakachua! japokuwa nimeangalia clip ya rostam aziz nikaona anashindwa kuhutubia wana iguga zaidi ya kusema nimekuja kumuombea kura huyu jamaa wa magamba kisha akashuka kwenye jukwaa! hii ni dalili kwamba alitishiwa kusimamishiwa biashara zake kwa kudaiwa malimbikizo ya kodi kama angekataa kupanda jukwaani kuyasema hayo huku amesimamiwa!
 
Chadema kwa mikakati ni balaa..ndiyo maana CCM wamepigwa na butwaa. Wenzako kama wamefanya mikutano 21 na wewe mmoja wa kuchakachua unategemea nini??. CDM ni mwisho wa matatizo...a very strategic party ever. Ikiwzekana msitumie helkopta

Walikuwa busy na maombelezo kule zenji
 
[QUOTdEd=Feedback;2499624]

Mbona watoto wa shule ndio wengi au huko wanaruhusiwa kupiga kura.[/QUOTE]

Shule za msingi Igunga zimefungwa nn?
 
<font color="#000000"><span style="font-family: Calibri"><br /> <br /> <br /> <br /> <br /> <br /> <br /> <br /> <br /> <br /> <br /> Kama ambavyo inajulikana,CUF=CCM.Ndiyo maana Mwanahalisi katika gazeti lao toleo la 258 walichora katuni inayoonyesha bondia wa CHADEMA akipambana na bondia mwenye vichwa viwili;kimoja cha magamba A kingine cha Magamba B.Na RAI la leo kwenye ukurasa wao wa mbele wameonyesha picha za watu watatu,lakini wagombea wawili tu i.e Joseph Kashindye(CHADEMA) na Dr. Peter Kafumu(CCM).Kweli Mungu akiamua kukuumbua hahitaji kusubiri karne! </span></font>
<br /> <br / MI NAWAOMBA SANA WANA IGUNGWA WAITENDEE HAKI TANZANIA KWA KUMCHAGUA KAMANDA WA CDM. MUNGU IBARIKITZ, MUNGU WABARIKI wana IGUNGA
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kama idadi kubwa ya mikutano ndiyo kigezo cha kushina uchaguzi basi hongereni Magwanda. Lakini nasikitika kwasababu wapiga kura huwa wanaangalia sera za mgombeaji, kwahiyo jazeni watu lakini mwisho wa siku CCM kidedea.
<br />
<br />
sera sio siri kama kutongozana. Sasa kama hawafanyi mikutano hizo sera wapiga kura wanazickia wapi?
 
Wamejaribu kupiga kampeni hapa jamvini wameshindwa. Bye devil ccm
<br />
<br />
eh eh eh oyeee jamani lini na cc wa Bk tutajikomboa kama hawa wenzetu natamani ingetokea BK hii ya kujivua gamba.
 
Umesahau wana trainee Green guard?
<br />
<br />
Kimsingi dola inatumika kuwatisha wananchi,wanatumia polisi,na watendaji wa vijiji,,ingawa pia tumejipanga kila idara,na kamwe hawatafanikiwa,maana wao wana pesa sisi tuna Mungu
 
na hisi mkushinda cdm hali ya igunga itasuasua zaidi ya alivyokuwepo RA kwani mkuu wa kaya anajazba sio kitoto..

kila la kheri wanaCDM..
 
Muhimu CDM kuweka mikakati ya kulinda kura maana magamba wanajua bila wizi ushindi kwa ndoto
 
<br />
<br />
Kimsingi dola inatumika kuwatisha wananchi,wanatumia polisi,na watendaji wa vijiji,,ingawa pia tumejipanga kila idara,na kamwe hawatafanikiwa,maana wao wana pesa sisi tuna Mungu
Wao wanataja pesa na kuwapa chumvi sisi tunataja Mungu na mtaji wetu nguvu ya umma.Hakuna kuwanahofu kwani Mungu anaenda pamoja na CHADEMA na tutashinda jimbo la Igunga
 
Tangu kampeni zianze hapa Igunga chadema tumekuwa tukifanya mikutano mitatu kwa siku,huku CCM ikishindwa kufanya hata mkutano mmoj,zaidi ya ule wa ufunguzi uliofanyika Igunga mjini, tena baada ya kuleta watu kwa malori.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Katika hali ya kukata tamaa, CCM sasa imekubaliana kutumia dola kama njia ya mwisho, kujipatia ushindi.. Kimsingi wananchi wengi Igunga wanataka mabadiliko, na wapo tayari kwa mabadiliko. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Leo Chadema tunafanya mkutano wa 21.. picha baadae
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt; mkuu Ephata nakuaminia.Vipi wabunge wetu wako huko? Kwa sababu kwa mujibu wa magazeti inatangazwa mikutano ya slaa peke yake.Tafadhali tujibu tunakutegemea.
 
Back
Top Bottom