CCM maji shingoni Igunga

CCM maji shingoni Igunga

Jimbo laini sana hili,na wanaIgunga wapo tayari kwa mabadiliko,kimsingi kwenye uchaguzi wa mwaka jana Chadema tulipata madiwani 2,wa kuchaguliwa na 1 wa viti maalum.Kila unayekutana nae anaonyesha ishara ya chadema hata watoto,ambayo ni ishara kuwa hata wazazi ndicho wafanyacho.,,ntaendelea kuwajuza
Ndugu asanteh sana,pipooooz! Kaza buti tutashinda ushindi huko wazi..
 
Waliotutangulia mbele ya Haki walisema...................Hakuna Marefu Yasiyo na Ncha.

This is the end of CCM
 
Kama idadi kubwa ya mikutano ndiyo kigezo cha kushina uchaguzi basi hongereni Magwanda. Lakini nasikitika kwasababu wapiga kura huwa wanaangalia sera za mgombeaji, kwahiyo jazeni watu lakini mwisho wa siku CCM kidedea.
 
Wamejaribu kupiga kampeni hapa jamvini wameshindwa. Bye devil ccm
 
Magawnda yanajifariji na kujilizawa!
Vipi hao vijana waliomwagwa na zile Fuso za CDM kutoka Moshi na Arusha ni wapiga kura wa jimbo hilo? Huko ni kujidanganya na sijui ni nani analipa gharama za chakula na malazi kwa vijana hawa zaidi ya 400 walioletwa na CDM ili kuongeza wingi wa watu katika mikutano yao
aliyekukata mshipa wa aibu ndiye kakuweza,wewe unaweza hata kumpikia maiti uji ukitegemea atapata nafuu.
 
Magawnda yanajifariji na kujilizawa!
Vipi hao vijana waliomwagwa na zile Fuso za CDM kutoka Moshi na Arusha ni wapiga kura wa jimbo hilo? Huko ni kujidanganya na sijui ni nani analipa gharama za chakula na malazi kwa vijana hawa zaidi ya 400 walioletwa na CDM ili kuongeza wingi wa watu katika mikutano yao
Kupambana na maharamia wanaopikwa SINGIDA!!
 
Kimbiza MAJANGILI hao wamezoea kukwapua.
Huwezi ukashindana na CCM wewe!! wao ndo wataamua nani awe Mbunge, hujui wanamiliki Tume ya Taifa ya uchaguzi. Kama unabisha fuatilia ujue uchaguzi wa October nani alishinda na tume ili play role gani. Mimi sishobokei shamla shamla nataka Katiba mpya ndo itakuwa dawa ya hawa wezi
 
Jimbo laini sana hili,na wanaIgunga wapo tayari kwa mabadiliko,kimsingi kwenye uchaguzi wa mwaka jana Chadema tulipata madiwani 2,wa kuchaguliwa na 1 wa viti maalum.Kila unayekutana nae anaonyesha ishara ya chadema hata watoto,ambayo ni ishara kuwa hata wazazi ndicho wafanyacho.,,ntaendelea kuwajuza
<br /> <br / vipi CUF? Naskia wana igunga wanawapenda sn kuliko cdm, ni kweli?
 
Wanajiandaa kwa sherehe ya kuapisha wakuu wa mikoa!
 
Bado hawajamaliza kulaumiana ni nani kampeleka Nape Igunga wakati mume wao Rostam alimpiga marufuku asikanyage Igunga! Wakimaliza kumwomba Rostam na akiwasamehe ndio watakuja kuendelea na kampeni. Kampeni pekee wanayoendelea nayo sasa ni kumwaga hela na Tindikali.
 
Kweli mwongo hana aibu. Kama CCM hawajafanya mikutano hizi picha zimetoka wapi? (Zilitumwa na Mjengwa juzi).

[FONT=d742ee695d1fc2181fcd2090#641400]CCM Wanaendelea Na Kampeni....Igunga.[/FONT]

Posted by Mjengwa |

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Katibu wa Uchumi na Fedha waCCM Taifa, Mwigulu Nchemba, akipokelewa na wanachama wa CCM,alipowasili kijijini Nkinga leo mchana kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mdogo wa chama hicho.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Hafsa Kazinja alikuwepo kutoa burudani kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wa chama cha CCM.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Dokii, akiwajibika jukwaani.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Katibu wa Uchumi na Fedha waCCM Taifa, Mwigulu Nchemba, akihutubia wananchi wa kijiji cha Nkinga leo mchana katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga. Akihutubia wananchi wa Nkinga, Nchemba aliwataka wakazi hao kumchagua mgombea wa CCM, Dr Dalali Kafumu, kuwa mbunge wao chama atokacho CCM, ndio chama pekee chenye sera zinazotekelezeka. Aliwaasa wananchi wa Nkinga na Igunga kwa ujumla kutochagua wagombea wa vyama vya upinzania kwani vyama hivyo vipo kwa maslahi ya viongozi wake na sio kwa maslahi ya wananchi. "Ndugu zangu wana Nkinga, msithubutu kuchagua vyama vya upinzani, chagueni CCM kwa ajili ya mendeleo yenu. Chama cha CCM, ndicho chama pekee chenye sera zinazotekelezeka. Hawa wenzetu wapinzani hawa, hawana lolote. Vyama vyao ni porojo tupu. Vipo kwa maslahi ya viongozi tu na sio kwa maslahi ya wananchi wa Tanzania." Picha zote na Victor Makinda
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Katibu wa Uchumi na Fedha waCCM Taifa, Mwigulu Nchemba akimvisha bendera mwanachama mpya wa CCM, aliyejiunga kutoka chama cha CUF leo mchana katika mkutano wa kampeni wa kijijini Nkinga.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Picha zote na Victor Makinda
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Na hizi za siku ya jana.

[h=3][FONT=d742ee695d1fc21813fbf850#641400]CCM Wanaendelea Na Kampeni Igunga[/FONT][/h]Posted by Mjengwa | Wednesday, September 14, 2011

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Wananchi wa Kijiji cha Ziba jimboni Igunga, wakimsikiliza Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM, Dr Dalal Kafumu, (kulia) katika mkutano wa kampeni uliofanyika kijijini hapo mchana wa leo.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Katibu wa Taifa wa Uchumi na Fedha wa CCM, Mwigulu Nchemba, akihutubia wananchi wa kijiji cha Siimbo jimboni Igunga katika mkutano wa kampeni uliofanyika jioni ya leo[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 


Duh pesa mwanaharamu hatutaki picha za ufunguzi tunataka picha za mikutano iliyofuata.
 
Wanabandika picha za ufunguzi tunataka za mikutano mingine.

Huo ni ufunguzi?

Huoni kwamba majina ya vijiji ni tofauti? Kweli magwanda mnajua kweli kujidanganya. Hizo ni picha za jana na juzi wakati ufunguzi ulikuwa Jumapili.
 
Magawnda yanajifariji na kujilizawa!
Vipi hao vijana waliomwagwa na zile Fuso za CDM kutoka Moshi na Arusha ni wapiga kura wa jimbo hilo? Huko ni kujidanganya na sijui ni nani analipa gharama za chakula na malazi kwa vijana hawa zaidi ya 400 walioletwa na CDM ili kuongeza wingi wa watu katika mikutano yao
Ritz,bora ukae kimya,ficha upumbavu wako,hakuna fuso kutoka moshi wala Arusha,sio utamaduni wetu,mie nipo hapa Igunga na waulize magamba wenzako sio kukurupuka tu,
 


Mbona watoto wa shule ndio wengi au huko wanaruhusiwa kupiga kura.
 


Duh pesa mwanaharamu hatutaki picha za ufunguzi tunataka picha za mikutano iliyofuata.

Soma mkutano wa ufunguzi ulifanyika wapi. kisha linganisha hizi picha ni za mikutano kwenye vijiji gani?

Mnapoteza muda bure kuja kuwadanganya watu hapa JF. Nendeni Igunga kusaidia kuhamasisha wapiga kura. Itakuwa na faida kubwa kwa chama kuliko kuwadanga watu hapa ambao hata hawapigi kura.
 
Back
Top Bottom