Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Ni wazo tu, kutokana na hali halisi. kiongozi na dr aliyewapiga ganzi ni dr slaa. 2007 aakataja mafisadi 11, dr hakuangalia sura hadi rais ndani, bungeni moto aliendelea kuwawashia, wakadhania watu hawaoni, ulingoni kaingia wakamdharau na kumpuuza, hali ilipozidi kuwa mbaya ikabidi wachakachue matokeo. Kwa unyenyekevu kawaacha wakadhani kazi imeisha, kumbe dr kwa yeye ndio kumekucha, kasema mwenyewe akiwa njje ya mfumo atafanya kazi kubwa kuliko, hakika tumeona cha moto wanakiona, sio siri mwitikio wa maandamano yanatisha sio kidogo, waliojivua gamba ghafla wamepotea wanaogopa kuonekana wanabweka wamejificha, hakika ccm, jk na serikali imepigwa ganzi kali, siku mmoja MmJ alishawahi kusema ganzi ya nusu kaputi mbaya, hawana namna, hadi misiba inasubiria chama tawala kufanya uchunguzi yaani chadema. Nape, mukama sote tumeona hata katika strong holdi yao sasa chali, ccm magamba wanakosa mapokezi hadi singida kwa dewji. Mwisho niseme chadema kinatawa, ccm ni wapinzani, kurudi kwa zitto ndio sasa kunanipa 75% ya ushindi wa chadema muda wowote uchaguzi ukiitishwa, tila protocol inabidi tuseme vinginevyo. Jamani mopaka nafurahia siasa ilivyo tamu sasa chama tawala ni wapinzani. Peoples power 2015 hayupo wa kuisimamisha nci inaenda, in dr slaa i trust inchi imeshaendas. Mungu ibariki tanzania bara (tanganyika), zanzibar na tanzania in dr slaa and chadema we trust