mzalendokweli
JF-Expert Member
- Apr 21, 2012
- 579
- 138
Katika taarifa ya habar ya star tv inayoendelea sasa Nape anasema wamejipanga kupambana na rushwa ndani ya chama. Katika alizodai aina mbili za kupambana wao wameamua kupambana kwa kuzuia na si kuadhibu. Kah,mi najua moja ya njia muhimu kabisa za kuzuia uhalifu/makosa ni kuadhibu wakosaji ili kudiscourage wengine kutotenda. Ukisema unazuia bila kuadhibu wakosaji watu watatafuta mbinu mpya kila siku. Pia anadai watazuia kwa kubadili baadhi ya kanuni anazodai zinapelekea rushwa.
My take;
CCM inaogopa kuzungumzia kuadhibu wala rushwa kwakua wakigusa nyanja hiyo watavuruga chama mana kila mmoja kala rushwa kufika alipo. Pili, ku-amend kanuni ni bomu hilo linaandaliwa kuja kumlipua mtu. Hapa. Wanajipanga kutosa watu kwa kutumia kanuni 2015. Mazingaombwe ni mbinu ya mwisho chama kinatumia kinapoelekea kufa.
My take;
CCM inaogopa kuzungumzia kuadhibu wala rushwa kwakua wakigusa nyanja hiyo watavuruga chama mana kila mmoja kala rushwa kufika alipo. Pili, ku-amend kanuni ni bomu hilo linaandaliwa kuja kumlipua mtu. Hapa. Wanajipanga kutosa watu kwa kutumia kanuni 2015. Mazingaombwe ni mbinu ya mwisho chama kinatumia kinapoelekea kufa.