Nimekuwa mwana ccm ktk chaguz zote but mwaka huu acha iwe mbaya, nampa EL..Hii ni kutokana na ulevi wa kiutawala /madaraka ndani ya chama wa2 wachache kujiona wao ni wao ndani ya chama., kiasi cha kupoka demokrasia ndani na nje ya chama , isitoshe kutupilia mbali katba ya wananchi iliyolenga kurejesha maamz ya taifa Kwa umma na si Kwa m2 au wa2 wachache ..
Bila kujali itikad za kivyama , watz Kwa mapenz mema ya taifa le2 ,tuungane kuing'oa ccm iliyokataa katba inayobeba dhana nzima ya mabadriko tuyatakayo.