CCM lazima itakufa uchaguzi 20015

CCM lazima itakufa uchaguzi 20015

Joined
Aug 6, 2013
Posts
42
Reaction score
57
kuna kila dalili sasa ccm itakufa kifo kibaya sana 2015, MTU makimi hakika atakubaliana na Mimi kuwa chama hiki kizee kitagawanyika katika vipande vitatu, kuna kundi ambalo vijana wa lowasa kwa sasa wanahaha kulisuka lengo lao kuu ni kuwagawa wapinzani wao. mpango huo UK o mbioni kukamilika . mpango huo ndio utakichimbia kaburi ccm kwani utaacha makovu makubwa sana ambayo hayatatibika kamwe. kundi La mafisadi litazofika na wapambanaji wa mafisadi nao watakuwa hoi.
 
Unamaananisha 20015 au 2015?? .......Maana nilidhani umekosea kwenye kichwa.......lakini naona hata kwenye andishi la ndani umerudia......japo umemtaja lowasa....
 
Acha mambo ya ajabu! CCM ibaki madarakani hadi 20015?
You cant be serious!
2015 tu CCM over!
 
...mkuu badili huo mwaka utaonekana mganga wa kienyeji,kimsingi kufa kwa CCM ni dhahiri na kumeanza kudhihirika. Hayo unayoyaona ni matokeo ya M4C inawachanganya.

Na upo mkakati wa kikanda ambao ndo unafagia kila kitu. Ukitaka tathmini ya haraka angalia Nape hata uchaguzi wa kitongoji anashangilia ,inamaanisha mizizi ya CHADEMA imeshashika mpaka vitongoji na sasa tunakwenda nyumba kwa nyumba,na huu ndo mwisho wa CCM...
 
Wananchi ndiyo waamuzi

"Nchi ngumu hii"
 
kuna kila dalili sasa ccm itakufa kifo kibaya sana 20015, MTU makimi hakika atakubaliana na Mimi kuwa chama hiki kizee kitagawanyika katika vipande vitatu, kuna kundi ambalo vijana wa lowasa kwa sasa wanahaha kulisuka lengo lao kuu ni kuwagawa wapinzani wao. mpango huo UK o mbioni kukamilika . mpango huo ndio utakichimbia kaburi ccm kwani utaacha makovu makubwa sana ambayo hayatatibika kamwe. kundi La mafisadi litazofika na wapambanaji wa mafisadi nao watakuwa hoi.

20015 mbali sana, 2015, 2020,2025,2030 zote CCM itashinda. 20015 hata akina SLAA watakuwa walishakufa na labda kutakuwepo na watu wenye mtazamo chanya na taifa hili ukilinganisha na husda ya akina SLAA.
 
Acha mambo ya ajabu! CCM ibaki madarakani hadi 20015?
You cant be serious!
2015 tu CCM over!

Huyu mleta mada anaujua ukweli kuwa CCM ni chama kisichotetereka ndiyo maana kaamua kwenda mabli zaidi
 
20015, du ni noma??? kizazi cha ngapi hicho kitakuwa hapa duniani
 
Wananchi ndiyo waamuzi

"Nchi ngumu hii"

Na kweli wananchi wanajua pamoja na madhaifu ya CCM bado wana imani nayo ukilinganisha na mwenendo wa siasa chafu wa vyama vya upinzani na hasa CHADEMA.
 
Mkuu mpaka mwaka 20015 tutakuwa tumeuzwa wote.
Labda 2015

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
huo utafiti wako kiboko kumbe ccm bado ipo ipo sana tumekusoma.
 
ccm hili chama ni noma yaani linawatesa vijana nilisha sema vijana maneno hayasaidii. kama wewe ni mvivu kupanga foleni ya kupiga kura huna haja ya kuponda CCM. maana kuitoa ccm ni mkakati wa nguvu usiohitaji longolongo. CCM hapana chezea
 
Poleni wanajamvi nilimanisha 2015, vijana wa ccm ukweli mnaujua ccm kufikia hata 2015 ni neema tu ya watanzania hamkupaswa hata kufika huko.
 
Unamaananisha 20015 au 2015?? .......Maana nilidhani umekosea kwenye kichwa.......lakini naona hata kwenye andishi la ndani umerudia......japo umemtaja lowasa....
'kosa la kiuandishi' ccm haiwezi kuishi mpaka mdaa huo imeshakufa tunaizika lasimi 2015.
 
Ccm ni taasisi imara yenye nguvu na haitakufa leo kesho wala keshokutwa. Mtakufa nyie na mazishi yenu yatahudhuriwa na ccm
 
Back
Top Bottom