Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,313
- 24,171
Wenzetu wa CHADEMA wamepotelewa na kiongozi wao ndg Mwesigwa Baregu, mtu aliye wasilisha issues za kisiasa kwa nguvu ya hoja.
CCM imewakilisha kwenye msiba huo na ndg Shaka, Katibu Mwenezi na Ushirikishwaji wa CCM. Awali Mwenyekiti wa CCM alitoa salaam za rambirambi kutokana na msiba huu wa ndugu Baregu.
Nawapongeza Chama changu cha CCM kwa kutambua kuwa hata wapinzani ni Watanzania.
Kitendo hiki nitaongeza umoja wa kitaifa.
CCM imewakilisha kwenye msiba huo na ndg Shaka, Katibu Mwenezi na Ushirikishwaji wa CCM. Awali Mwenyekiti wa CCM alitoa salaam za rambirambi kutokana na msiba huu wa ndugu Baregu.
Nawapongeza Chama changu cha CCM kwa kutambua kuwa hata wapinzani ni Watanzania.
Kitendo hiki nitaongeza umoja wa kitaifa.