Awsom
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,085
- 307
Habarini Wadau,
CCM tumeiongoza nchi hii kwa muda mrefu zaidi ya miaka 50, na kwakweli yapo mengi mazuri tuliyoyafanya (watanzania ni mashahidi) LAKINI niweke wazi kuwa Tumewanyanyasa sana Waalimu wa Tanzania kwa miaka mingi kwa kutoyatimiza ahadi zifuatazo:-
-Tumeshindwa kuwapandishia mishahara yao ingawa bidhaa zinaongezeka thamani,na hawana Marupurupu.
-Tumewaahidi sana kuwapandisha madaraja yao kikazi bila kutimiza hilo katika asilimia kubwa ya waalimu.
-Tumeshawadharau sana mpaka kuwaita Mbayuwayu (aina ya ndege) na Pia kuwachapa.
-Tumekuwa tukiwatumia katika sensa,kuhesabu kura na katika shuhuli mbalimbali bila kuhesabu kama overtime na kuwalipa.
-Tumewapa ahadi ya laptop pekee badala ya kushuhulikia kero zao za msingi mfano umeme na hayo yaliyotajwa hapo juu.
Ni wakati wa kutafakari namna ya kufanya kama tutashinda uchaguzi hapo October.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
CCM tumeiongoza nchi hii kwa muda mrefu zaidi ya miaka 50, na kwakweli yapo mengi mazuri tuliyoyafanya (watanzania ni mashahidi) LAKINI niweke wazi kuwa Tumewanyanyasa sana Waalimu wa Tanzania kwa miaka mingi kwa kutoyatimiza ahadi zifuatazo:-
-Tumeshindwa kuwapandishia mishahara yao ingawa bidhaa zinaongezeka thamani,na hawana Marupurupu.
-Tumewaahidi sana kuwapandisha madaraja yao kikazi bila kutimiza hilo katika asilimia kubwa ya waalimu.
-Tumeshawadharau sana mpaka kuwaita Mbayuwayu (aina ya ndege) na Pia kuwachapa.
-Tumekuwa tukiwatumia katika sensa,kuhesabu kura na katika shuhuli mbalimbali bila kuhesabu kama overtime na kuwalipa.
-Tumewapa ahadi ya laptop pekee badala ya kushuhulikia kero zao za msingi mfano umeme na hayo yaliyotajwa hapo juu.
Ni wakati wa kutafakari namna ya kufanya kama tutashinda uchaguzi hapo October.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.