Kwitu Kumpepo
Member
- May 2, 2012
- 69
- 4
Wana falsafa walishasema "Mabadiliko hayakwepeki katika jamii yoyote" Hapo hatuna budi kukubali.
Kuna ukweli usiopingika kuwa katika uhai wowote, kuna KUZALIWA, KUKUA, KUZEEKA na mwishowe KUFA. CCM ilizaliwa, ikakua na sasa inaandamwa na maradhi ya UZEENI. Tunachosubiri ni taarifa za KIFO tu
Kuna ukweli usiopingika kuwa katika uhai wowote, kuna KUZALIWA, KUKUA, KUZEEKA na mwishowe KUFA. CCM ilizaliwa, ikakua na sasa inaandamwa na maradhi ya UZEENI. Tunachosubiri ni taarifa za KIFO tu