imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,041
Chama cha Demokrasia na Maendeleo tumejiandaa kushika Dola nawewe Mbatizaji karibu Chadema.CCM iko mahututi lakini hakuna wa kupokea " mkoba"
Chama cha Demokrasia na Maendeleo tumejiandaa kushika Dola nawewe Mbatizaji karibu Chadema.CCM iko mahututi lakini hakuna wa kupokea " mkoba"
Kama kawa ni CHADEMA.Chama gani Cha kuitoa CCM!?
Dola mtashikia kwenye maridhiano!Chama cha Demokrasia na Maendeleo tumejiandaa kushika Dola nawewe Mbatizaji karibu Chadema.
Ukiona watu wanatumia propaganda za matusi kuwakashifu wengine ujue hali ni tete !! Think tank kushney !!CCM iko mahututi lakini hakuna wa kupokea " mkoba"
Majizi yanatumia loopholes zilizomo kwenye hiyo Katiba !! Lazima loopholes zizibwe na ndicho anachodai Raila !!Nchi inafirisika wewe unaosema Katiba yao iko Vizuri?!!
Through ballot, huku Dunia yote ikiona.Dola mtashikia kwenye maridhiano!
Mdude awe Waziri wa habari,lema mambo ya ndani!?..ofisi tu chama hakina ufikirie kukipa nchi!!Kama kawa ni CHADEMA.
Usitupangie ila tukitaka Mdude tutamfanya awe Mkuu wa Usalama.Mdude awe Waziri wa habari,lema mambo ya ndani!?..ofisi tu chama hakina ufikirie kukipa nchi!!