CCM kushinda uchaguzi wa madiwani kwa zaidi ya asilimia 98 na wabunge kwa asilimia 100.

Kuna watu wanaongea habari za kufurahisha nafsi zao kujifariji japo uhalisia hadi sasa CCM imipita bila kupingwa huku ikiungwa mkono kwa asilimia takriban 100 katika kata takriban 20 zilizobaki.

Kwa upande wa Ubunge Dimani Mgombea wa CCM anasubiri kuapishwa.Hii ni dalili ya ushindi wa tsunami 2020.
Exactly .
 
Back
Top Bottom