CCM kunafukuta! Njooni mkatae na hili!

CCM kunafukuta! Njooni mkatae na hili!

Ni Bandiko toka "X" zamani Twitter.
"Kigogo Media".Mimi nimeileta humu kwa kuwataka kina
Lucas mwashambwa &
Company JF.muisome na kujitambua......
"Inawezekana ni jambo ambalo wengi hawajui kuwa linaendelea ndani ya CCM ,na sishangai kwa kuwa watanzania tuna tabia ya kutofuatilia mambo na kuyatafiti lakini kwa maamuzi haya ya Daniel Chongolo nadhani yabatia mashaka makubwa sana juuya uwezo wake wa kimaamuzi kama katibu mkuu wa CCM.

CCM inaajiri sasa makatibu wenezi kama ambavyo vikao vya chama viliagiza na Daniel Chongolo anatumia nafasi hiyo kuwapa madaraka makubwa sana watu kutoka CHADEMA bila kushindanishwa na kufanyiwa usaili kama ambavyo inatakiwa ifanyike kwa maagizo ya vikao vya chama chake.

Daniel Chongolo kama mwajiri mkuu ndani ya CCM na katibu mkuu wa chama tawala kwa mamlaka yake hayo ameamua kuajiri na kuwapa nafasi kubwa sana na za ndani sana za CCM makada wa CHADEMA. Jambo hili ni hatari na lina athari kubwa sana ndani ya CCM na mshikamano ndani ya CCM na wanachama wake. Sidhani kama Chongolo anaona maumivu ya vijana wa UVCCM na wafia CCM wengine wenye sifa na waliokitumikia hiki chama kwa jasho na damu miaka nenda rudi halafu leo wanakuja kuona watu toka CHADEMA wanapewa vyeo vikubwa ndani ya chama tena bila kukijua chama hiki na kuishi imani ya chama hiki . Sidhani kama Chaongolo anaona hili ma madhara yake na uasi anaokuja kuusababisha ndani ya hiki chama.

Nilistushwa sana kumuona Ally Bananga akiongea kwenye vyombo vya habari na akitambulishwa kama Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar Es Salaam. Sina shida na yeye kuwa katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam lakini nina shida ya jinsi ambavyo Chongolo kama katibu mkuu wa CCM anatazama mambo na kuyapima kabla hajaamua. Yaani Bananga amempa jukumu la kupambania kura milioni 5 hivi zilizoko Dar Es Salaam ? Yaani Bananga anakuwa katibu mwenezi wa chama mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mtu anajua mambo mengi sana ya kimkakati ndani ya chama ngazi ya mkoa na ngazi ya taifa huku ana mke ambaye yuko chama hasimu na CCM? Hivi huyu Chongolo aliandaliwa kweli kuongoza hiki chama au alibahatika tu kupewa hii nafasi? Sielewi na sijaelewa na sitaelewa kama ni kweli CCM imekosa vijana ndani ya chama kuanzia huko mikoani mpaka Dar Es Salaam kwenyewe kupewa hii nafasi mpaka inafikia mtu wa nje ya chama na mtu aliyekulia nje ya chama hiki anapewa nafasi kubwa hivi. Bananga huyu si ndiyo alizunguka na Lissu nchi nzima kufanya kampeni? Huyu mara hii kaaminiwa ndani ya CCM mpaka kupewa nafasi kubwa hivi? Ukiniuliza ntasema hapana hakutakiwa kupewa hii nafasi hasa kwa mkoa wa kimkakati kama Dar Es Salaam na ni makosa makubwa sana kwa Chongolo kufanya hivi na kama alimpenda sana na hakujisikia raha kutompa ajira basi angempa mkoa mwingine lakini siyo mkoa wa Dar Es Salaam. Nasema siyo Dar Es Salaam na kwa vyovyote vile haikufaa hata kidogo kufanywa hivi.

Chongolo hajaishia hapo. Amekwenda mbali zaidi kaajiri afisa habari kwa siri ambaye alikuwa chama cha upinzani na cha kusikitisha zaidi ni kuwa unapokuwa afisa habari wa katibu mkuu wa CCM maana yake ni pana sana na kubwa sana. Anajua siri zote na kikakati yote ya chama ngazi zote za nchi. Je? Hivi kweli CCM hii mnaamini watu mapema kiasi hiki mpaka mnawapa mavyeo makubwa hivyo ndani ya chama kwa muda mfupi hivi? Hakuna vijana walioandaliwa ndani ya hiki chama kushika hizi nafasi?

Chongolo anatumia vibaya nafasi iliyoamriwa na vikao vya chama kuwa nafasi ya ukatibu uenezi ndaniya CCM itakuwa ni nafasi ya kuajiriwa na alichofanya Chogolo ni geresha tu ya kutaka watu waombe nafasi hiyo lakini alikuwa na jina la Bananga mfukoni. Nina uhakika hili halikai sawa na wengi wa watu wa CCM hasa mkoa wa Dar Es Salaam hawajalifurahia na athari za hili CCM watakuja kuliona kwenye uchaguzi ujao maana watu wa CCM watakwenda kwenye uchaguzi wakisikitika na kuna hatari ya kuhujumu chama.

Kwa maamuzi haya na mengine napata shida sana kuelewa kama Chongolo akiwa katibu mkuu wa CCM anaweza kuongoza kuweka mikakati na mipango ili CCM ishinde kwa kishindo kikubwa sana kwenye uchaguzi wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025

NATAFAKARI ...! Lakini kiukweli HANA UWEZO"
Kama ungekuwa un uwezo wangekupa, ila kubali tu Ally Bananga anakuzidi ndiyo maana kaonekana. Maneno mengi uneabdika blabla kumbe voicer ulikuwa unatarajia ungepata Ukatibu Mwenezi
 
Acha hofu ndugu. Hao ni watanzania kama wewe. Kutokea upinzani hakuhatarishi chochote katika usalama wa nchi.
 
Mstari ulitakiwa kuchorwa kitambo sana, wasubiri Mwijaku kutawazwa Mwenyekiti UVCCM Taifa.



Wasiishie hapo….

Watupe “maono” yao kuhusu CHAWA WA MAMA, Taasisi iliyosajiliwa ki halali kabisa na kutambulika na serikali ya JMT.
Chama kimezidi kuwa cha wajinga haswa
 
Ni Bandiko toka "X" zamani Twitter.
"Kigogo Media".Mimi nimeileta humu kwa kuwataka kina
Lucas mwashambwa &
Company JF.muisome na kujitambua......

"Inawezekana ni jambo ambalo wengi hawajui kuwa linaendelea ndani ya CCM ,na sishangai kwa kuwa watanzania tuna tabia ya kutofuatilia mambo na kuyatafiti lakini kwa maamuzi haya ya Daniel Chongolo nadhani yabatia mashaka makubwa sana juuya uwezo wake wa kimaamuzi kama katibu mkuu wa CCM.

CCM inaajiri sasa makatibu wenezi kama ambavyo vikao vya chama viliagiza na Daniel Chongolo anatumia nafasi hiyo kuwapa madaraka makubwa sana watu kutoka CHADEMA bila kushindanishwa na kufanyiwa usaili kama ambavyo inatakiwa ifanyike kwa maagizo ya vikao vya chama chake.

Daniel Chongolo kama mwajiri mkuu ndani ya CCM na katibu mkuu wa chama tawala kwa mamlaka yake hayo ameamua kuajiri na kuwapa nafasi kubwa sana na za ndani sana za CCM makada wa CHADEMA. Jambo hili ni hatari na lina athari kubwa sana ndani ya CCM na mshikamano ndani ya CCM na wanachama wake.

Sidhani kama Chongolo anaona maumivu ya vijana wa UVCCM na wafia CCM wengine wenye sifa na waliokitumikia hiki chama kwa jasho na damu miaka nenda rudi halafu leo wanakuja kuona watu toka CHADEMA wanapewa vyeo vikubwa ndani ya chama tena bila kukijua chama hiki na kuishi imani ya chama hiki . Sidhani kama Chaongolo anaona hili ma madhara yake na uasi anaokuja kuusababisha ndani ya hiki chama.

Nilistushwa sana kumuona Ally Bananga akiongea kwenye vyombo vya habari na akitambulishwa kama Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar Es Salaam. Sina shida na yeye kuwa katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam lakini nina shida ya jinsi ambavyo Chongolo kama katibu mkuu wa CCM anatazama mambo na kuyapima kabla hajaamua.

Yaani Bananga amempa jukumu la kupambania kura milioni 5 hivi zilizoko Dar Es Salaam ? Yaani Bananga anakuwa katibu mwenezi wa chama mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mtu anajua mambo mengi sana ya kimkakati ndani ya chama ngazi ya mkoa na ngazi ya taifa huku ana mke ambaye yuko chama hasimu na CCM?

Hivi huyu Chongolo aliandaliwa kweli kuongoza hiki chama au alibahatika tu kupewa hii nafasi? Sielewi na sijaelewa na sitaelewa kama ni kweli CCM imekosa vijana ndani ya chama kuanzia huko mikoani mpaka Dar Es Salaam kwenyewe kupewa hii nafasi mpaka inafikia mtu wa nje ya chama na mtu aliyekulia nje ya chama hiki anapewa nafasi kubwa hivi. Bananga huyu si ndiyo alizunguka na Lissu nchi nzima kufanya kampeni? Huyu mara hii kaaminiwa ndani ya CCM mpaka kupewa nafasi kubwa hivi?

Ukiniuliza ntasema hapana hakutakiwa kupewa hii nafasi hasa kwa mkoa wa kimkakati kama Dar Es Salaam na ni makosa makubwa sana kwa Chongolo kufanya hivi na kama alimpenda sana na hakujisikia raha kutompa ajira basi angempa mkoa mwingine lakini siyo mkoa wa Dar Es Salaam. Nasema siyo Dar Es Salaam na kwa vyovyote vile haikufaa hata kidogo kufanywa hivi.

Chongolo hajaishia hapo. Amekwenda mbali zaidi kaajiri afisa habari kwa siri ambaye alikuwa chama cha upinzani na cha kusikitisha zaidi ni kuwa unapokuwa afisa habari wa katibu mkuu wa CCM maana yake ni pana sana na kubwa sana. Anajua siri zote na kikakati yote ya chama ngazi zote za nchi.

Je, Hivi kweli CCM hii mnaamini watu mapema kiasi hiki mpaka mnawapa mavyeo makubwa hivyo ndani ya chama kwa muda mfupi hivi? Hakuna vijana walioandaliwa ndani ya hiki chama kushika hizi nafasi?

Chongolo anatumia vibaya nafasi iliyoamriwa na vikao vya chama kuwa nafasi ya ukatibu uenezi ndaniya CCM itakuwa ni nafasi ya kuajiriwa na alichofanya Chogolo ni geresha tu ya kutaka watu waombe nafasi hiyo lakini alikuwa na jina la Bananga mfukoni.

Nina uhakika hili halikai sawa na wengi wa watu wa CCM hasa mkoa wa Dar Es Salaam hawajalifurahia na athari za hili CCM watakuja kuliona kwenye uchaguzi ujao maana watu wa CCM watakwenda kwenye uchaguzi wakisikitika na kuna hatari ya kuhujumu chama.

Kwa maamuzi haya na mengine napata shida sana kuelewa kama Chongolo akiwa katibu mkuu wa CCM anaweza kuongoza kuweka mikakati na mipango ili CCM ishinde kwa kishindo kikubwa sana kwenye uchaguzi wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025

NATAFAKARI ...! Lakini kiukweli HANA UWEZO"
Jiwe aliyemuajiri Bashiru ambaye alikuwa CUF?

Akanunua wabunge kutoka Chadema na kuwapa direct ticket bila kupitia kura za maoni?

Kisha akenda kuwateua kwenye uwaziri?
 
Bananga kwanza ni msaliti, ni tabia yake. Kuna siku nilimuambia kuwa atakuja kuisaliti CHADEMA baada ya kusikia kauli zake (Tulikuwa Mbauda, kata ya Sombetini, Arusha).

Ina prove kuwa ccm wanajichimbia kaburi na kwa ballot box hawawezi kutoboa. I mean hawana uwezo wa kushinda uchaguzi kihalali.
Bananga si alikuwa CCM kabla ya kuingia Chadema? Hapo amerudi nyumbani
 
Ni Bandiko toka "X" zamani Twitter.
"Kigogo Media".Mimi nimeileta humu kwa kuwataka kina
Lucas mwashambwa &
Company JF.muisome na kujitambua......

"Inawezekana ni jambo ambalo wengi hawajui kuwa linaendelea ndani ya CCM ,na sishangai kwa kuwa watanzania tuna tabia ya kutofuatilia mambo na kuyatafiti lakini kwa maamuzi haya ya Daniel Chongolo nadhani yabatia mashaka makubwa sana juuya uwezo wake wa kimaamuzi kama katibu mkuu wa CCM.

CCM inaajiri sasa makatibu wenezi kama ambavyo vikao vya chama viliagiza na Daniel Chongolo anatumia nafasi hiyo kuwapa madaraka makubwa sana watu kutoka CHADEMA bila kushindanishwa na kufanyiwa usaili kama ambavyo inatakiwa ifanyike kwa maagizo ya vikao vya chama chake.

Daniel Chongolo kama mwajiri mkuu ndani ya CCM na katibu mkuu wa chama tawala kwa mamlaka yake hayo ameamua kuajiri na kuwapa nafasi kubwa sana na za ndani sana za CCM makada wa CHADEMA. Jambo hili ni hatari na lina athari kubwa sana ndani ya CCM na mshikamano ndani ya CCM na wanachama wake.

Sidhani kama Chongolo anaona maumivu ya vijana wa UVCCM na wafia CCM wengine wenye sifa na waliokitumikia hiki chama kwa jasho na damu miaka nenda rudi halafu leo wanakuja kuona watu toka CHADEMA wanapewa vyeo vikubwa ndani ya chama tena bila kukijua chama hiki na kuishi imani ya chama hiki . Sidhani kama Chaongolo anaona hili ma madhara yake na uasi anaokuja kuusababisha ndani ya hiki chama.

Nilistushwa sana kumuona Ally Bananga akiongea kwenye vyombo vya habari na akitambulishwa kama Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar Es Salaam. Sina shida na yeye kuwa katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam lakini nina shida ya jinsi ambavyo Chongolo kama katibu mkuu wa CCM anatazama mambo na kuyapima kabla hajaamua.

Yaani Bananga amempa jukumu la kupambania kura milioni 5 hivi zilizoko Dar Es Salaam ? Yaani Bananga anakuwa katibu mwenezi wa chama mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mtu anajua mambo mengi sana ya kimkakati ndani ya chama ngazi ya mkoa na ngazi ya taifa huku ana mke ambaye yuko chama hasimu na CCM?

Hivi huyu Chongolo aliandaliwa kweli kuongoza hiki chama au alibahatika tu kupewa hii nafasi? Sielewi na sijaelewa na sitaelewa kama ni kweli CCM imekosa vijana ndani ya chama kuanzia huko mikoani mpaka Dar Es Salaam kwenyewe kupewa hii nafasi mpaka inafikia mtu wa nje ya chama na mtu aliyekulia nje ya chama hiki anapewa nafasi kubwa hivi. Bananga huyu si ndiyo alizunguka na Lissu nchi nzima kufanya kampeni? Huyu mara hii kaaminiwa ndani ya CCM mpaka kupewa nafasi kubwa hivi?

Ukiniuliza ntasema hapana hakutakiwa kupewa hii nafasi hasa kwa mkoa wa kimkakati kama Dar Es Salaam na ni makosa makubwa sana kwa Chongolo kufanya hivi na kama alimpenda sana na hakujisikia raha kutompa ajira basi angempa mkoa mwingine lakini siyo mkoa wa Dar Es Salaam. Nasema siyo Dar Es Salaam na kwa vyovyote vile haikufaa hata kidogo kufanywa hivi.

Chongolo hajaishia hapo. Amekwenda mbali zaidi kaajiri afisa habari kwa siri ambaye alikuwa chama cha upinzani na cha kusikitisha zaidi ni kuwa unapokuwa afisa habari wa katibu mkuu wa CCM maana yake ni pana sana na kubwa sana. Anajua siri zote na kikakati yote ya chama ngazi zote za nchi.

Je, Hivi kweli CCM hii mnaamini watu mapema kiasi hiki mpaka mnawapa mavyeo makubwa hivyo ndani ya chama kwa muda mfupi hivi? Hakuna vijana walioandaliwa ndani ya hiki chama kushika hizi nafasi?

Chongolo anatumia vibaya nafasi iliyoamriwa na vikao vya chama kuwa nafasi ya ukatibu uenezi ndaniya CCM itakuwa ni nafasi ya kuajiriwa na alichofanya Chogolo ni geresha tu ya kutaka watu waombe nafasi hiyo lakini alikuwa na jina la Bananga mfukoni.

Nina uhakika hili halikai sawa na wengi wa watu wa CCM hasa mkoa wa Dar Es Salaam hawajalifurahia na athari za hili CCM watakuja kuliona kwenye uchaguzi ujao maana watu wa CCM watakwenda kwenye uchaguzi wakisikitika na kuna hatari ya kuhujumu chama.

Kwa maamuzi haya na mengine napata shida sana kuelewa kama Chongolo akiwa katibu mkuu wa CCM anaweza kuongoza kuweka mikakati na mipango ili CCM ishinde kwa kishindo kikubwa sana kwenye uchaguzi wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025

NATAFAKARI ...! Lakini kiukweli HANA UWEZO"
Tatizo lilianzia hapa 👇👇
 

Attachments

  • IMG_20211116_120145.jpg
    IMG_20211116_120145.jpg
    68.5 KB · Views: 1
Hakuna kitu hapo, ni uroho wa madaraka tu
Kwani Mashinji, Katambi, Bananga, yule sharobalo wa Arumeru, wale wa Arusha, Mtatiro wa CUF, na wengine wengi mbona hawasemi

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
CCM inaandaa watu for the future, Chongolo ni future from the present times of akina Kinana na Msoga!

Kwamba Ali ana mke kutoka upinzani, siyo issue kama ambavyo haikuwa issue kwa Kafulila. Besides, CCM ni chama dola, huyo Ali anaweza kuwa anafatiliwa kila hatua na mfumo ....

Kuhusu kutokuwa shwari, again it's a non issue kwa CCM, hivi kuna msigano kama ile wa Msoga camp vs Safari ya matumaini kuelekea 2015 elections, kama walivuka changamoto ile, things will unlikely be worse than that come 2025!
Ally Bananga amewahi kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha, ndipo akajiunga CHADEMA.

Sasa huenda alijiunga na CHADEMA kimkakati na kwa kuwa kazi ameikamilisha, basi karudi nyumbani kwa wadhamini wake
 
Ni Bandiko toka "X" zamani Twitter.
"Kigogo Media".Mimi nimeileta humu kwa kuwataka kina
Lucas mwashambwa &
Company JF.muisome na kujitambua......

"Inawezekana ni jambo ambalo wengi hawajui kuwa linaendelea ndani ya CCM ,na sishangai kwa kuwa watanzania tuna tabia ya kutofuatilia mambo na kuyatafiti lakini kwa maamuzi haya ya Daniel Chongolo nadhani yabatia mashaka makubwa sana juuya uwezo wake wa kimaamuzi kama katibu mkuu wa CCM.

CCM inaajiri sasa makatibu wenezi kama ambavyo vikao vya chama viliagiza na Daniel Chongolo anatumia nafasi hiyo kuwapa madaraka makubwa sana watu kutoka CHADEMA bila kushindanishwa na kufanyiwa usaili kama ambavyo inatakiwa ifanyike kwa maagizo ya vikao vya chama chake.

Daniel Chongolo kama mwajiri mkuu ndani ya CCM na katibu mkuu wa chama tawala kwa mamlaka yake hayo ameamua kuajiri na kuwapa nafasi kubwa sana na za ndani sana za CCM makada wa CHADEMA. Jambo hili ni hatari na lina athari kubwa sana ndani ya CCM na mshikamano ndani ya CCM na wanachama wake.

Sidhani kama Chongolo anaona maumivu ya vijana wa UVCCM na wafia CCM wengine wenye sifa na waliokitumikia hiki chama kwa jasho na damu miaka nenda rudi halafu leo wanakuja kuona watu toka CHADEMA wanapewa vyeo vikubwa ndani ya chama tena bila kukijua chama hiki na kuishi imani ya chama hiki . Sidhani kama Chaongolo anaona hili ma madhara yake na uasi anaokuja kuusababisha ndani ya hiki chama.

Nilistushwa sana kumuona Ally Bananga akiongea kwenye vyombo vya habari na akitambulishwa kama Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar Es Salaam. Sina shida na yeye kuwa katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam lakini nina shida ya jinsi ambavyo Chongolo kama katibu mkuu wa CCM anatazama mambo na kuyapima kabla hajaamua.

Yaani Bananga amempa jukumu la kupambania kura milioni 5 hivi zilizoko Dar Es Salaam ? Yaani Bananga anakuwa katibu mwenezi wa chama mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mtu anajua mambo mengi sana ya kimkakati ndani ya chama ngazi ya mkoa na ngazi ya taifa huku ana mke ambaye yuko chama hasimu na CCM?

Hivi huyu Chongolo aliandaliwa kweli kuongoza hiki chama au alibahatika tu kupewa hii nafasi? Sielewi na sijaelewa na sitaelewa kama ni kweli CCM imekosa vijana ndani ya chama kuanzia huko mikoani mpaka Dar Es Salaam kwenyewe kupewa hii nafasi mpaka inafikia mtu wa nje ya chama na mtu aliyekulia nje ya chama hiki anapewa nafasi kubwa hivi. Bananga huyu si ndiyo alizunguka na Lissu nchi nzima kufanya kampeni? Huyu mara hii kaaminiwa ndani ya CCM mpaka kupewa nafasi kubwa hivi?

Ukiniuliza ntasema hapana hakutakiwa kupewa hii nafasi hasa kwa mkoa wa kimkakati kama Dar Es Salaam na ni makosa makubwa sana kwa Chongolo kufanya hivi na kama alimpenda sana na hakujisikia raha kutompa ajira basi angempa mkoa mwingine lakini siyo mkoa wa Dar Es Salaam. Nasema siyo Dar Es Salaam na kwa vyovyote vile haikufaa hata kidogo kufanywa hivi.

Chongolo hajaishia hapo. Amekwenda mbali zaidi kaajiri afisa habari kwa siri ambaye alikuwa chama cha upinzani na cha kusikitisha zaidi ni kuwa unapokuwa afisa habari wa katibu mkuu wa CCM maana yake ni pana sana na kubwa sana. Anajua siri zote na kikakati yote ya chama ngazi zote za nchi.

Je, Hivi kweli CCM hii mnaamini watu mapema kiasi hiki mpaka mnawapa mavyeo makubwa hivyo ndani ya chama kwa muda mfupi hivi? Hakuna vijana walioandaliwa ndani ya hiki chama kushika hizi nafasi?

Chongolo anatumia vibaya nafasi iliyoamriwa na vikao vya chama kuwa nafasi ya ukatibu uenezi ndaniya CCM itakuwa ni nafasi ya kuajiriwa na alichofanya Chogolo ni geresha tu ya kutaka watu waombe nafasi hiyo lakini alikuwa na jina la Bananga mfukoni.

Nina uhakika hili halikai sawa na wengi wa watu wa CCM hasa mkoa wa Dar Es Salaam hawajalifurahia na athari za hili CCM watakuja kuliona kwenye uchaguzi ujao maana watu wa CCM watakwenda kwenye uchaguzi wakisikitika na kuna hatari ya kuhujumu chama.

Kwa maamuzi haya na mengine napata shida sana kuelewa kama Chongolo akiwa katibu mkuu wa CCM anaweza kuongoza kuweka mikakati na mipango ili CCM ishinde kwa kishindo kikubwa sana kwenye uchaguzi wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025

NATAFAKARI ...! Lakini kiukweli HANA UWEZO"
CCM ikifa tutakuwa huru.
 
Ni Bandiko toka "X" zamani Twitter.
"Kigogo Media".Mimi nimeileta humu kwa kuwataka kina
Lucas mwashambwa &
Company JF.muisome na kujitambua......

"Inawezekana ni jambo ambalo wengi hawajui kuwa linaendelea ndani ya CCM ,na sishangai kwa kuwa watanzania tuna tabia ya kutofuatilia mambo na kuyatafiti lakini kwa maamuzi haya ya Daniel Chongolo nadhani yabatia mashaka makubwa sana juuya uwezo wake wa kimaamuzi kama katibu mkuu wa CCM.

CCM inaajiri sasa makatibu wenezi kama ambavyo vikao vya chama viliagiza na Daniel Chongolo anatumia nafasi hiyo kuwapa madaraka makubwa sana watu kutoka CHADEMA bila kushindanishwa na kufanyiwa usaili kama ambavyo inatakiwa ifanyike kwa maagizo ya vikao vya chama chake.

Daniel Chongolo kama mwajiri mkuu ndani ya CCM na katibu mkuu wa chama tawala kwa mamlaka yake hayo ameamua kuajiri na kuwapa nafasi kubwa sana na za ndani sana za CCM makada wa CHADEMA. Jambo hili ni hatari na lina athari kubwa sana ndani ya CCM na mshikamano ndani ya CCM na wanachama wake.

Sidhani kama Chongolo anaona maumivu ya vijana wa UVCCM na wafia CCM wengine wenye sifa na waliokitumikia hiki chama kwa jasho na damu miaka nenda rudi halafu leo wanakuja kuona watu toka CHADEMA wanapewa vyeo vikubwa ndani ya chama tena bila kukijua chama hiki na kuishi imani ya chama hiki . Sidhani kama Chaongolo anaona hili ma madhara yake na uasi anaokuja kuusababisha ndani ya hiki chama.

Nilistushwa sana kumuona Ally Bananga akiongea kwenye vyombo vya habari na akitambulishwa kama Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar Es Salaam. Sina shida na yeye kuwa katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam lakini nina shida ya jinsi ambavyo Chongolo kama katibu mkuu wa CCM anatazama mambo na kuyapima kabla hajaamua.

Yaani Bananga amempa jukumu la kupambania kura milioni 5 hivi zilizoko Dar Es Salaam ? Yaani Bananga anakuwa katibu mwenezi wa chama mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mtu anajua mambo mengi sana ya kimkakati ndani ya chama ngazi ya mkoa na ngazi ya taifa huku ana mke ambaye yuko chama hasimu na CCM?

Hivi huyu Chongolo aliandaliwa kweli kuongoza hiki chama au alibahatika tu kupewa hii nafasi? Sielewi na sijaelewa na sitaelewa kama ni kweli CCM imekosa vijana ndani ya chama kuanzia huko mikoani mpaka Dar Es Salaam kwenyewe kupewa hii nafasi mpaka inafikia mtu wa nje ya chama na mtu aliyekulia nje ya chama hiki anapewa nafasi kubwa hivi. Bananga huyu si ndiyo alizunguka na Lissu nchi nzima kufanya kampeni? Huyu mara hii kaaminiwa ndani ya CCM mpaka kupewa nafasi kubwa hivi?

Ukiniuliza ntasema hapana hakutakiwa kupewa hii nafasi hasa kwa mkoa wa kimkakati kama Dar Es Salaam na ni makosa makubwa sana kwa Chongolo kufanya hivi na kama alimpenda sana na hakujisikia raha kutompa ajira basi angempa mkoa mwingine lakini siyo mkoa wa Dar Es Salaam. Nasema siyo Dar Es Salaam na kwa vyovyote vile haikufaa hata kidogo kufanywa hivi.

Chongolo hajaishia hapo. Amekwenda mbali zaidi kaajiri afisa habari kwa siri ambaye alikuwa chama cha upinzani na cha kusikitisha zaidi ni kuwa unapokuwa afisa habari wa katibu mkuu wa CCM maana yake ni pana sana na kubwa sana. Anajua siri zote na kikakati yote ya chama ngazi zote za nchi.

Je, Hivi kweli CCM hii mnaamini watu mapema kiasi hiki mpaka mnawapa mavyeo makubwa hivyo ndani ya chama kwa muda mfupi hivi? Hakuna vijana walioandaliwa ndani ya hiki chama kushika hizi nafasi?

Chongolo anatumia vibaya nafasi iliyoamriwa na vikao vya chama kuwa nafasi ya ukatibu uenezi ndaniya CCM itakuwa ni nafasi ya kuajiriwa na alichofanya Chogolo ni geresha tu ya kutaka watu waombe nafasi hiyo lakini alikuwa na jina la Bananga mfukoni.

Nina uhakika hili halikai sawa na wengi wa watu wa CCM hasa mkoa wa Dar Es Salaam hawajalifurahia na athari za hili CCM watakuja kuliona kwenye uchaguzi ujao maana watu wa CCM watakwenda kwenye uchaguzi wakisikitika na kuna hatari ya kuhujumu chama.

Kwa maamuzi haya na mengine napata shida sana kuelewa kama Chongolo akiwa katibu mkuu wa CCM anaweza kuongoza kuweka mikakati na mipango ili CCM ishinde kwa kishindo kikubwa sana kwenye uchaguzi wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025

NATAFAKARI ...! Lakini kiukweli HANA UWEZO"
Kazi ya uenezi inataka uwe mzima mdomon, hasa, propaganda,na kwa vijana wa Chadema hilo wamejaaliwa, CCM hakuna watu wa aina hiyo,sio vibaya kwani sote ni watanzania na tunajenga nchi moja,ubaguzi haufai.
Pia ni njia nzuri ya kumnyanganya majembe mpinzani
 
Wengine tumeambiwa tutachengerwa iwapo tutaendelea kutomasatomasa.
 
Kusema ukweli Mwenyekiti wa CCM kumteua Chongolo kuwa Katibu Mkuu - CCM ni kutowatendea haki wakina Msekwa,Kawawa,Gama,Kolimba,Mangula,Mukama na Kinana.
Utofauti ni wa ardhi na mbingu.
 
CCM Ni Taasisi kubwa sana na yenye mfumo Imara na Thabiti sana katika kuendesha mambo yake.usilete hofu wala sisi wanachama wa CCM Hatuna hofu .Nashangaa pia kwanini umeleta habari hiyo ya ndugu Bananga wakati huu wakati suala hilo lilishapita na Anaendelea kuchapa kazi na kukijenga chama chetu.sasa nyie wakati CCM I ajenga Chama na kusajili wanachama wapya kila siku nyie mnaendelea na Majungu na uchonganishi wenu.
Kama Majungu,unababaishwaje na Majungu,acha yajitee mwenyewe😂
 
Ni Bandiko toka "X" zamani Twitter.
"Kigogo Media".Mimi nimeileta humu kwa kuwataka kina
Lucas mwashambwa &
Company JF.muisome na kujitambua......

"Inawezekana ni jambo ambalo wengi hawajui kuwa linaendelea ndani ya CCM ,na sishangai kwa kuwa watanzania tuna tabia ya kutofuatilia mambo na kuyatafiti lakini kwa maamuzi haya ya Daniel Chongolo nadhani yabatia mashaka makubwa sana juuya uwezo wake wa kimaamuzi kama katibu mkuu wa CCM.

CCM inaajiri sasa makatibu wenezi kama ambavyo vikao vya chama viliagiza na Daniel Chongolo anatumia nafasi hiyo kuwapa madaraka makubwa sana watu kutoka CHADEMA bila kushindanishwa na kufanyiwa usaili kama ambavyo inatakiwa ifanyike kwa maagizo ya vikao vya chama chake.

Daniel Chongolo kama mwajiri mkuu ndani ya CCM na katibu mkuu wa chama tawala kwa mamlaka yake hayo ameamua kuajiri na kuwapa nafasi kubwa sana na za ndani sana za CCM makada wa CHADEMA. Jambo hili ni hatari na lina athari kubwa sana ndani ya CCM na mshikamano ndani ya CCM na wanachama wake.

Sidhani kama Chongolo anaona maumivu ya vijana wa UVCCM na wafia CCM wengine wenye sifa na waliokitumikia hiki chama kwa jasho na damu miaka nenda rudi halafu leo wanakuja kuona watu toka CHADEMA wanapewa vyeo vikubwa ndani ya chama tena bila kukijua chama hiki na kuishi imani ya chama hiki . Sidhani kama Chaongolo anaona hili ma madhara yake na uasi anaokuja kuusababisha ndani ya hiki chama.

Nilistushwa sana kumuona Ally Bananga akiongea kwenye vyombo vya habari na akitambulishwa kama Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar Es Salaam. Sina shida na yeye kuwa katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam lakini nina shida ya jinsi ambavyo Chongolo kama katibu mkuu wa CCM anatazama mambo na kuyapima kabla hajaamua.

Yaani Bananga amempa jukumu la kupambania kura milioni 5 hivi zilizoko Dar Es Salaam ? Yaani Bananga anakuwa katibu mwenezi wa chama mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mtu anajua mambo mengi sana ya kimkakati ndani ya chama ngazi ya mkoa na ngazi ya taifa huku ana mke ambaye yuko chama hasimu na CCM?

Hivi huyu Chongolo aliandaliwa kweli kuongoza hiki chama au alibahatika tu kupewa hii nafasi? Sielewi na sijaelewa na sitaelewa kama ni kweli CCM imekosa vijana ndani ya chama kuanzia huko mikoani mpaka Dar Es Salaam kwenyewe kupewa hii nafasi mpaka inafikia mtu wa nje ya chama na mtu aliyekulia nje ya chama hiki anapewa nafasi kubwa hivi. Bananga huyu si ndiyo alizunguka na Lissu nchi nzima kufanya kampeni? Huyu mara hii kaaminiwa ndani ya CCM mpaka kupewa nafasi kubwa hivi?

Ukiniuliza ntasema hapana hakutakiwa kupewa hii nafasi hasa kwa mkoa wa kimkakati kama Dar Es Salaam na ni makosa makubwa sana kwa Chongolo kufanya hivi na kama alimpenda sana na hakujisikia raha kutompa ajira basi angempa mkoa mwingine lakini siyo mkoa wa Dar Es Salaam. Nasema siyo Dar Es Salaam na kwa vyovyote vile haikufaa hata kidogo kufanywa hivi.

Chongolo hajaishia hapo. Amekwenda mbali zaidi kaajiri afisa habari kwa siri ambaye alikuwa chama cha upinzani na cha kusikitisha zaidi ni kuwa unapokuwa afisa habari wa katibu mkuu wa CCM maana yake ni pana sana na kubwa sana. Anajua siri zote na kikakati yote ya chama ngazi zote za nchi.

Je, Hivi kweli CCM hii mnaamini watu mapema kiasi hiki mpaka mnawapa mavyeo makubwa hivyo ndani ya chama kwa muda mfupi hivi? Hakuna vijana walioandaliwa ndani ya hiki chama kushika hizi nafasi?

Chongolo anatumia vibaya nafasi iliyoamriwa na vikao vya chama kuwa nafasi ya ukatibu uenezi ndaniya CCM itakuwa ni nafasi ya kuajiriwa na alichofanya Chogolo ni geresha tu ya kutaka watu waombe nafasi hiyo lakini alikuwa na jina la Bananga mfukoni.

Nina uhakika hili halikai sawa na wengi wa watu wa CCM hasa mkoa wa Dar Es Salaam hawajalifurahia na athari za hili CCM watakuja kuliona kwenye uchaguzi ujao maana watu wa CCM watakwenda kwenye uchaguzi wakisikitika na kuna hatari ya kuhujumu chama.

Kwa maamuzi haya na mengine napata shida sana kuelewa kama Chongolo akiwa katibu mkuu wa CCM anaweza kuongoza kuweka mikakati na mipango ili CCM ishinde kwa kishindo kikubwa sana kwenye uchaguzi wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025

NATAFAKARI ...! Lakini kiukweli HANA UWEZO"
Haikuanza kwake tangu enzi za akina Mangula na Makamba na akina Tambwe Hiza wao.....

Hata ungekua wewe kweli ungeweza acha nazi komavu uchukue koroma kwa bei ghali?
 
Kwa Bananga mlichemka kumpa Bananga,mngempa Haji Manara iyo kazi,nadhani mnajua ushawishi wake kwenye soka na Mama amekuwa akitoa pesa huko,sasa Haji Manara angekuwa kiungo mzuri sana kuwashawishi watu kuipigia kura CCM.
CCM mna macho lakini hamuoni!
Kweli nchi yetu ni chaka la wenda wazimu. Haji Manara huyu huyu ndiyo bingwa wa kushawishi watu! Sikupingi ila nashangaa jinsi raia wetu walivyo na akili ndogo... kama kweli wanaweza kushawishiwa na mtu kama Manara.
 
Ni Bandiko toka "X" zamani Twitter.
"Kigogo Media".Mimi nimeileta humu kwa kuwataka kina
Lucas mwashambwa &
Company JF.muisome na kujitambua......

"Inawezekana ni jambo ambalo wengi hawajui kuwa linaendelea ndani ya CCM ,na sishangai kwa kuwa watanzania tuna tabia ya kutofuatilia mambo na kuyatafiti lakini kwa maamuzi haya ya Daniel Chongolo nadhani yabatia mashaka makubwa sana juuya uwezo wake wa kimaamuzi kama katibu mkuu wa CCM.

CCM inaajiri sasa makatibu wenezi kama ambavyo vikao vya chama viliagiza na Daniel Chongolo anatumia nafasi hiyo kuwapa madaraka makubwa sana watu kutoka CHADEMA bila kushindanishwa na kufanyiwa usaili kama ambavyo inatakiwa ifanyike kwa maagizo ya vikao vya chama chake.

Daniel Chongolo kama mwajiri mkuu ndani ya CCM na katibu mkuu wa chama tawala kwa mamlaka yake hayo ameamua kuajiri na kuwapa nafasi kubwa sana na za ndani sana za CCM makada wa CHADEMA. Jambo hili ni hatari na lina athari kubwa sana ndani ya CCM na mshikamano ndani ya CCM na wanachama wake.

Sidhani kama Chongolo anaona maumivu ya vijana wa UVCCM na wafia CCM wengine wenye sifa na waliokitumikia hiki chama kwa jasho na damu miaka nenda rudi halafu leo wanakuja kuona watu toka CHADEMA wanapewa vyeo vikubwa ndani ya chama tena bila kukijua chama hiki na kuishi imani ya chama hiki . Sidhani kama Chaongolo anaona hili ma madhara yake na uasi anaokuja kuusababisha ndani ya hiki chama.

Nilistushwa sana kumuona Ally Bananga akiongea kwenye vyombo vya habari na akitambulishwa kama Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar Es Salaam. Sina shida na yeye kuwa katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam lakini nina shida ya jinsi ambavyo Chongolo kama katibu mkuu wa CCM anatazama mambo na kuyapima kabla hajaamua.

Yaani Bananga amempa jukumu la kupambania kura milioni 5 hivi zilizoko Dar Es Salaam ? Yaani Bananga anakuwa katibu mwenezi wa chama mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mtu anajua mambo mengi sana ya kimkakati ndani ya chama ngazi ya mkoa na ngazi ya taifa huku ana mke ambaye yuko chama hasimu na CCM?

Hivi huyu Chongolo aliandaliwa kweli kuongoza hiki chama au alibahatika tu kupewa hii nafasi? Sielewi na sijaelewa na sitaelewa kama ni kweli CCM imekosa vijana ndani ya chama kuanzia huko mikoani mpaka Dar Es Salaam kwenyewe kupewa hii nafasi mpaka inafikia mtu wa nje ya chama na mtu aliyekulia nje ya chama hiki anapewa nafasi kubwa hivi. Bananga huyu si ndiyo alizunguka na Lissu nchi nzima kufanya kampeni? Huyu mara hii kaaminiwa ndani ya CCM mpaka kupewa nafasi kubwa hivi?

Ukiniuliza ntasema hapana hakutakiwa kupewa hii nafasi hasa kwa mkoa wa kimkakati kama Dar Es Salaam na ni makosa makubwa sana kwa Chongolo kufanya hivi na kama alimpenda sana na hakujisikia raha kutompa ajira basi angempa mkoa mwingine lakini siyo mkoa wa Dar Es Salaam. Nasema siyo Dar Es Salaam na kwa vyovyote vile haikufaa hata kidogo kufanywa hivi.

Chongolo hajaishia hapo. Amekwenda mbali zaidi kaajiri afisa habari kwa siri ambaye alikuwa chama cha upinzani na cha kusikitisha zaidi ni kuwa unapokuwa afisa habari wa katibu mkuu wa CCM maana yake ni pana sana na kubwa sana. Anajua siri zote na kikakati yote ya chama ngazi zote za nchi.

Je, Hivi kweli CCM hii mnaamini watu mapema kiasi hiki mpaka mnawapa mavyeo makubwa hivyo ndani ya chama kwa muda mfupi hivi? Hakuna vijana walioandaliwa ndani ya hiki chama kushika hizi nafasi?

Chongolo anatumia vibaya nafasi iliyoamriwa na vikao vya chama kuwa nafasi ya ukatibu uenezi ndaniya CCM itakuwa ni nafasi ya kuajiriwa na alichofanya Chogolo ni geresha tu ya kutaka watu waombe nafasi hiyo lakini alikuwa na jina la Bananga mfukoni.

Nina uhakika hili halikai sawa na wengi wa watu wa CCM hasa mkoa wa Dar Es Salaam hawajalifurahia na athari za hili CCM watakuja kuliona kwenye uchaguzi ujao maana watu wa CCM watakwenda kwenye uchaguzi wakisikitika na kuna hatari ya kuhujumu chama.

Kwa maamuzi haya na mengine napata shida sana kuelewa kama Chongolo akiwa katibu mkuu wa CCM anaweza kuongoza kuweka mikakati na mipango ili CCM ishinde kwa kishindo kikubwa sana kwenye uchaguzi wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025

NATAFAKARI ...! Lakini kiukweli HANA UWEZO"
chai
 
Ni Bandiko toka "X" zamani Twitter.
"Kigogo Media".Mimi nimeileta humu kwa kuwataka kina
Lucas mwashambwa &
Company JF.muisome na kujitambua......

"Inawezekana ni jambo ambalo wengi hawajui kuwa linaendelea ndani ya CCM ,na sishangai kwa kuwa watanzania tuna tabia ya kutofuatilia mambo na kuyatafiti lakini kwa maamuzi haya ya Daniel Chongolo nadhani yabatia mashaka makubwa sana juuya uwezo wake wa kimaamuzi kama katibu mkuu wa CCM.

CCM inaajiri sasa makatibu wenezi kama ambavyo vikao vya chama viliagiza na Daniel Chongolo anatumia nafasi hiyo kuwapa madaraka makubwa sana watu kutoka CHADEMA bila kushindanishwa na kufanyiwa usaili kama ambavyo inatakiwa ifanyike kwa maagizo ya vikao vya chama chake.

Daniel Chongolo kama mwajiri mkuu ndani ya CCM na katibu mkuu wa chama tawala kwa mamlaka yake hayo ameamua kuajiri na kuwapa nafasi kubwa sana na za ndani sana za CCM makada wa CHADEMA. Jambo hili ni hatari na lina athari kubwa sana ndani ya CCM na mshikamano ndani ya CCM na wanachama wake.

Sidhani kama Chongolo anaona maumivu ya vijana wa UVCCM na wafia CCM wengine wenye sifa na waliokitumikia hiki chama kwa jasho na damu miaka nenda rudi halafu leo wanakuja kuona watu toka CHADEMA wanapewa vyeo vikubwa ndani ya chama tena bila kukijua chama hiki na kuishi imani ya chama hiki . Sidhani kama Chaongolo anaona hili ma madhara yake na uasi anaokuja kuusababisha ndani ya hiki chama.

Nilistushwa sana kumuona Ally Bananga akiongea kwenye vyombo vya habari na akitambulishwa kama Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar Es Salaam. Sina shida na yeye kuwa katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam lakini nina shida ya jinsi ambavyo Chongolo kama katibu mkuu wa CCM anatazama mambo na kuyapima kabla hajaamua.

Yaani Bananga amempa jukumu la kupambania kura milioni 5 hivi zilizoko Dar Es Salaam ? Yaani Bananga anakuwa katibu mwenezi wa chama mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mtu anajua mambo mengi sana ya kimkakati ndani ya chama ngazi ya mkoa na ngazi ya taifa huku ana mke ambaye yuko chama hasimu na CCM?

Hivi huyu Chongolo aliandaliwa kweli kuongoza hiki chama au alibahatika tu kupewa hii nafasi? Sielewi na sijaelewa na sitaelewa kama ni kweli CCM imekosa vijana ndani ya chama kuanzia huko mikoani mpaka Dar Es Salaam kwenyewe kupewa hii nafasi mpaka inafikia mtu wa nje ya chama na mtu aliyekulia nje ya chama hiki anapewa nafasi kubwa hivi. Bananga huyu si ndiyo alizunguka na Lissu nchi nzima kufanya kampeni? Huyu mara hii kaaminiwa ndani ya CCM mpaka kupewa nafasi kubwa hivi?

Ukiniuliza ntasema hapana hakutakiwa kupewa hii nafasi hasa kwa mkoa wa kimkakati kama Dar Es Salaam na ni makosa makubwa sana kwa Chongolo kufanya hivi na kama alimpenda sana na hakujisikia raha kutompa ajira basi angempa mkoa mwingine lakini siyo mkoa wa Dar Es Salaam. Nasema siyo Dar Es Salaam na kwa vyovyote vile haikufaa hata kidogo kufanywa hivi.

Chongolo hajaishia hapo. Amekwenda mbali zaidi kaajiri afisa habari kwa siri ambaye alikuwa chama cha upinzani na cha kusikitisha zaidi ni kuwa unapokuwa afisa habari wa katibu mkuu wa CCM maana yake ni pana sana na kubwa sana. Anajua siri zote na kikakati yote ya chama ngazi zote za nchi.

Je, Hivi kweli CCM hii mnaamini watu mapema kiasi hiki mpaka mnawapa mavyeo makubwa hivyo ndani ya chama kwa muda mfupi hivi? Hakuna vijana walioandaliwa ndani ya hiki chama kushika hizi nafasi?

Chongolo anatumia vibaya nafasi iliyoamriwa na vikao vya chama kuwa nafasi ya ukatibu uenezi ndaniya CCM itakuwa ni nafasi ya kuajiriwa na alichofanya Chogolo ni geresha tu ya kutaka watu waombe nafasi hiyo lakini alikuwa na jina la Bananga mfukoni.

Nina uhakika hili halikai sawa na wengi wa watu wa CCM hasa mkoa wa Dar Es Salaam hawajalifurahia na athari za hili CCM watakuja kuliona kwenye uchaguzi ujao maana watu wa CCM watakwenda kwenye uchaguzi wakisikitika na kuna hatari ya kuhujumu chama.

Kwa maamuzi haya na mengine napata shida sana kuelewa kama Chongolo akiwa katibu mkuu wa CCM anaweza kuongoza kuweka mikakati na mipango ili CCM ishinde kwa kishindo kikubwa sana kwenye uchaguzi wa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025

NATAFAKARI ...! Lakini kiukweli HANA UWEZO"
Kama huelewi, huyo alikuwa pandikizi letu huko alikotokea.
 
Back
Top Bottom