Mwislam by choice
JF-Expert Member
- Sep 23, 2017
- 555
- 660
Bado upo tz unakubali kuongozwa, watu mkishiba mnakua na maneno saana Rais angebana kama magu mngekua busy kutafuta chakulaNo reform no election, Maza na gang lake ni empty pumpkin heads.
Bado upo tz unakubali kuongozwa, watu mkishiba mnakua na maneno saana Rais angebana kama magu mngekua busy kutafuta chakulaNo reform no election, Maza na gang lake ni empty pumpkin heads.
Chuma Hicho Na Sasa Kinatema Che Che Che
Nani mwenye akili sasa, sa100??!!.Yaani watu wenye wajibu wa kikatiba wakae na kuoteza muda kujibu uropokaji wa mtu anaweweseka kutafuta pakutokea? surely?
yaani mwenye akili apoteze muda kujibu upotoshaji ambao hauna ushahidi wala mashiko yoyote, kweli ?🐒
Umesema kweli. Wenye akili na wajibu wa kikatiba hadi sasa hawajazungumza lolote. Ila waropokaji wamesharopoka kama kawaida yao. Tumewajua na bado tunaendelea kupata 1 na 2 kutoka kwa chawa na nyukiwa mama na mama mwenyeweYaani watu wenye wajibu wa kikatiba wakae na kuoteza muda kujibu uropokaji wa mtu anaweweseka kutafuta pakutokea? surely?
yaani mwenye akili apoteze muda kujibu upotoshaji ambao hauna ushahidi wala mashiko yoyote, kweli ?🐒
Huyu hata mtoto wa Gwajima Wa Kike hamfikii