Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,882
- 828,451
Gwajima na mapungufu yake mengi tuu lakini this time around kaongea kitu kikubwa sana kilichogusa mamilioni ya watanganyika kwenye swala zima la utekaji
Wengi tulitegemea ndani ya chama chake apate support kubwa ama ajibiwe kwa hoja ..
Kinyume chake kuanzia uduvi, dagaa, kambale na sharubu zake mpaka papa la mapapa.. Woote katika umoja wao hakuna aliyeonesha hekima tafakuri wala heshima
Wallishindana kumshambulia kwa
Mipasho
Kejeli
Tuhuma
Matusi
Vitisho nknk
Wa juu kabisa walikaa kimya tuli, tukatajarajia kimya chao ni kimya cha tafakuri.. Lakini lahaula.... Walipofungua vinywa na misamiati mipya ikapatikana hapo.. Na hadhira ikaangua vicheko na kushangilia sana.. My beloved Tanganyika!😒🤔😪
Nikajikuta nakumbuka waswaheli waliosema
Lila na fila havitangamani... Na ndege wafananao huruka pamoja
ukiona mwanao yuko vizuri kichwani jua kaiga kwa mama au kwa baba .. Na kinyume chake
Wengi tulitegemea ndani ya chama chake apate support kubwa ama ajibiwe kwa hoja ..
Kinyume chake kuanzia uduvi, dagaa, kambale na sharubu zake mpaka papa la mapapa.. Woote katika umoja wao hakuna aliyeonesha hekima tafakuri wala heshima
Wallishindana kumshambulia kwa
Mipasho
Kejeli
Tuhuma
Matusi
Vitisho nknk
Wa juu kabisa walikaa kimya tuli, tukatajarajia kimya chao ni kimya cha tafakuri.. Lakini lahaula.... Walipofungua vinywa na misamiati mipya ikapatikana hapo.. Na hadhira ikaangua vicheko na kushangilia sana.. My beloved Tanganyika!😒🤔😪
Nikajikuta nakumbuka waswaheli waliosema
Lila na fila havitangamani... Na ndege wafananao huruka pamoja
ukiona mwanao yuko vizuri kichwani jua kaiga kwa mama au kwa baba .. Na kinyume chake