CCM kuipa Utawala wa Nchi CDM

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Kama unakumbuka CCM iliwahonga CDM viti vya ubunge ili kuiondoa CUF ,kuna muelekeo kuwa 2015 CCM itawaachia CDM kiti cha Uraisi .
 
Kama unakumbuka CCM iliwahonga CDM viti vya ubunge ili kuiondoa CUF ,kuna muelekeo kuwa 2015 CCM itawaachia CDM kiti cha Uraisi .

huyo mkata umeme, umeme, ooh umeme eh! Wala usimchukie utaukosa umeme!!!

Mkuu Mwiba inaonekana uliwekeza sana kwenye sms spoofing,
si vibaya kumuiga promota don king.
 
Last edited by a moderator:
Nilitaka kushangaa kwa kuona Mwiba kaamua kuandika hivyo kumbe anataka kuangalia upepo unaelekea wapi..... Mwiba usijisumbue kama upo sehemu ambapo hakuna mchanga ambao utakusaidia kuangalia uelekeo wa upepo, wewe achia tu hewa chafu kutoka kwenye Masaburi kisha angalia upande upi wanahangaika kufumba pua ujue huko ndiko upepo unalekekea
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom