CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

Kaazi kwel kweli,hivi lile tamko la Wamasai juzi mlisahau ku edit baadhi ye maneno?manake mliwaambia kuwa Wachaga wasishike madaraka yoyote arusha hii,lakini cha ajabu mkuu wa Wilaya aliyeratibu tamko hilo ni wa Bukoba,Mkuu wa Mkoa ni wa kanda ya Ziwa na Gaudence Lyimo ambaye ni meya ni mchaga wa Marangu.Sasa ambao hamuwataki hasa ni akina nani?Kweli naamini CCM ni janga la taifa!!
 
Siku yangu niliianza vizuri kabisa ,ila umeshaiharibu na wewe mwenye kichwa kilichojaa kamasi badala ya ubongo

kama unaharibiwa siku na mwenye kichwa kilichijaa makamasi basi wewe kichwa chako p kimejaa ile kitu inayitoka kwa meya aka inayotoka ma------ni
 
Kademu ka kamizinga. Watakuwezo?
 
Mtu kama wewe ukitajiwa kiungo chako cha uzazi na urination utaanza kulia lia,maana ukera sana
 
nenda chooni, kuni kitu kimekubana haraka! maana unatoa harufu sasa
 
kama unaharibiwa siku na mwenye kichwa kilichijaa makamasi basi wewe kichwa chako p kimejaa ile kitu inayitoka kwa meya aka inayotoka ma------ni

Unasema nikutoe hiyo inayotokea kwa ma------ kwa ngumi,usiendekeze tabia za kisengerema wewe
 
hivi ile tarehe 15/04/2013 pale Oysterbay police canteen nini kiliwakimbiza? wewe na mwenzio asenga na yule mzee aliyevaa suti halafu mguuni kavaa Raba!,wewe ukiwa umeshika gazeti la tanzania Daima! Ama kweli kuhamia CCM ndio Umeanza hiyo Biashara!!!
 
Duh ndugu zangu mshaanza kuporomosha matusi tayali.kuweni wavumilivu kipindi hiki japo najua kitaenda kuwa kigumu sana kwenu.

Okay...yetu macho!
Tutakutana kwenye thread za usiku........kwa sababu huwezi kuwa na maslahi jamii (aggregate concern) bila kuwa na malahi binafsi (individual concern)....kurukia stage au mambo ndio kunaliponza Taifa...CCM walirukia ujamaa bila kupitia ubepari kama waanzilishi wake (Engels,Karl max na Owen) walivyotanabaisha.....ndio maana mpaka sasa hamjitambui na hamtambui kwa nini Tanzania ni maskini!
 

Yeah kwa sera za mauaji ya raia, track record ya wizi wa kura, kuvuruga chaguzi..ni lazima mtashinda mia kwa mia..mkumbuke tu kutuambia waliojitokeza kupiga kura walikuwa 100% ya wapiga kura..na shuhuda kadhaa kwa luninga na radio nk ccm onyee.
 
Makamanda leo viroba vitawatoka kichwani
 
Kweli magamba ni kalio la sufuria, mda si mrefu nitaelekea Kimandolu kulinda kura yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…