rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
watanzania tumeshuhudia malumbano na matatizo kibao tangu uchaguzi wa mwaka jana,huu uchaguzi wa igunga ndio wa kwanza tangu uchaguzi mkuu mwaka jana,watanzania wote tuna hamu tujue uwezo wa ccm,je bado wanakubalika kwa watanzania
uchaguzi huu utakuwa kipimo tosha kwa kikwete na serikali yake,je wataiba tena kura kama walivyozoea??macho yetu yote IGUNGA
uchaguzi huu utakuwa kipimo tosha kwa kikwete na serikali yake,je wataiba tena kura kama walivyozoea??macho yetu yote IGUNGA