mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,296
- 13,740
Ndio maana mtoaji wa hela kalalamika zimeliwa ni aibu kubwa hiiKipimo chako cha kizuzu ni kupita kwa hiyo miaka?Punguza kisebengo weye!
Ndio maana mtoaji wa hela kalalamika zimeliwa ni aibu kubwa hiiKipimo chako cha kizuzu ni kupita kwa hiyo miaka?Punguza kisebengo weye!
Sawa kabisa.Millioni mia mbili
Millioni mia mbiliWalipewa shilingi ngapi??
Amelalamika lini?Au weye ni tarishi wake mtoa habari?Ndio maana mtoaji wa hela kalalamika zimeliwa ni aibu kubwa hii
Nami na kakampuni kanguCCM tumeichoka
Sema Muda huu Maisha yamekuwa Magumu wasomi tumeamua kutafta kadi za Ccm ili tusifu na kuabudu nothing else
HundiSawa kabisa.
Hizo hela zilikuwa keshi ama waliwekewa Benki??
.Sawa kabisa.
Hizo hela zilikuwa keshi ama waliwekewa Benki??
Hizo hela zilikuwa za kuchimbia visima. Na Slaa ndiye alikuwa msimamizi.
Ofisi ni materal tu hata ikiwaje muhimu kujenga spirit ya watu kujitambua na ufahamu kuhu maishaa yao.Mpaka Leo ofisi haijajengwa uongozi wa saccos umeshatafuna hizo hela hii ni aibu kubwa
Ccm wengi ni opportunists ni watu wanaotafuta personal gains, madaraka, mali, vyeo... Japo wapo wapo wapinzani opportunists walio wengi ni fighters kwa ajili ya humankindSamia mwenyewe anasema kuwa alivutiwa na siasa za vyama vya upinzani, ndiyo akaingia siasa. Ina maana hata yeye aliamua kuingia CCM ni kwa sababu tu CCM ndiyo njia ya kupenya kufika juu kwa sababu ya vyombo vya dola.