CCM kama mnaipenda sana CHADEMA jiungeni

CCM kama mnaipenda sana CHADEMA jiungeni

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,828
Reaction score
50,508
Kila mara CHADEMA! CHADEMA! CHADEMA! Mara CHADEMA hivi mara CHADEMA vile. Siku mkisikia mtu wa CHADEMA ameongea tu na kiongozi wa CCM basi Lumumba kunapikwa pilau na biriani. CHADEMA wakipita tu mitaani mnaagiza wakamatwe.

Yaani ni kama vile CHADEMA ndiyo chama tawala na CCM ndiyo chama pinzani. Umeme ukiwa wa Mgao mnauliza CHADEMA inasemaje. Mkiwa kwenye mikutano yenu na ACT wakija mnaanza kunung'unika kwamba ni kwa nini CHADEMA hawakuja.

Mna ofisi kila kona ya nchi bado mnataka CHADEMA wajenge yao kama vile hamtumii ofisi zenu kwa kuwa CHADEMA hawana ofisi (wanayo pale Ufipa). Inavoonekana wana CCM wengi wanaitamani sana CHADEMA na wanaihusudu.

Kama ni hivyo jiungeni sasa badala ya kuishia kujipendekeza kwa CHADEMA.
 
Leo BBC Swahili walikuwa wanamuhoji Mzee sabodo kalalamika sana hela alizotoa kujenga ofisi ya chadema zimeliwa (chadema walimfata kumuomba hela zsa kujenga ofisi ya chadema makao makuu) ni mamilioni ya shilingi
 
Leo BBC Swahili walikuwa wanamuhoji Mzee sabodo kalalamika sana hela alizotoa kujenga ofisi ya chadema zimeliwa (chadema walimfata kumuomba hela zsa kujenga ofisi ya chadema makao makuu) ni mamilioni ya shilingi
Amesema zilikuwa ni shillingi ngapi??

Mwongo mkubwa wewe!!
 
Kila mara CHADEMA! CHADEMA! CHADEMA! Mara CHADEMA hivi mara CHADEMA vile. Siku mkisikia mtu wa CHADEMA ameongea tu na kiongozi wa CCM basi Lumumba kunapikwa pilau na biriani. CHADEMA wakipita tu mitaani mnaagiza wakamatwe.

Yaani ni kama vile CHADEMA ndiyo chama tawala na CCM ndiyo chama pinzani. Umeme ukiwa na Mgao mnauliza CHADEMA inasemaje. Mkiwa kwenye mikutano yenu na ACT wakija mnaanza kunung'unika kwamba ni kwa nini CHADEMA hawakuja.

Mna ofisi kila kona ya nchi bado mnataka CHADEMA wajenge yao kama vile hamtumii ofisi zenu kwa kuwa CHADEMA hawana ofisi (wanayo pale Ufipa). Inavoonekana wana CCM wengi wanaitamani sana CHADEMA na wanaihusudu.

Kama ni hivyo jiungeni sasa badala ya kuishia kujipendekeza kwa CHADEMA.
#maendeleo hayana chama
 
Kila mara CHADEMA! CHADEMA! CHADEMA! Mara CHADEMA hivi mara CHADEMA vile. Siku mkisikia mtu wa CHADEMA ameongea tu na kiongozi wa CCM basi Lumumba kunapikwa pilau na biriani. CHADEMA wakipita tu mitaani mnaagiza wakamatwe.

Yaani ni kama vile CHADEMA ndiyo chama tawala na CCM ndiyo chama pinzani. Umeme ukiwa na Mgao mnauliza CHADEMA inasemaje. Mkiwa kwenye mikutano yenu na ACT wakija mnaanza kunung'unika kwamba ni kwa nini CHADEMA hawakuja.

Mna ofisi kila kona ya nchi bado mnataka CHADEMA wajenge yao kama vile hamtumii ofisi zenu kwa kuwa CHADEMA hawana ofisi (wanayo pale Ufipa). Inavoonekana wana CCM wengi wanaitamani sana CHADEMA na wanaihusudu.

Kama ni hivyo jiungeni sasa badala ya kuishia kujipendekeza kwa CHADEMA.
Samia mwenyewe anasema kuwa alivutiwa na siasa za vyama vya upinzani, ndiyo akaingia siasa. Ina maana hata yeye aliamua kuingia CCM ni kwa sababu tu CCM ndiyo njia ya kupenya kufika juu kwa sababu ya vyombo vya dola.
 
Back
Top Bottom